Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Katibu wa habari na uenezi wa kitengo cha vijana NCCR-MAGEUZI anadai chama chao wamejiandaa vilivyo kuchukua dola 2015 tena kwa kishindo kikubwa. Kisandu ambaye pia anagombea nafasi ya mwenyekiti wa vijana taifa ameyasema hayo leo akiwa na rafiki zake hapa ubungo. hata hivyo ameweka mkazo kuwa chama chao ndio chaguo sahihi la watz,
SOURCE: hapa Ubungo
SOURCE: hapa Ubungo