GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Huyu bwana nadhani wengi mmekuwa mkimsikia hasa sisi kizazi cha siku za nyuma ukiachana na hiki cha dot.com au instagram.
Ni tajiri mmoja mfanyabiashara wa kiarabu ambaye anatokea Jiji la Tanga. Bwana huyu alikuwa hapo mwanzo ameoa mwanamke wa asili yake.yaani mwarabu.
Katika pita pita zake siku moja alifanikiwa kumwona mwanamke mmoja wa kitanga mashallah...ana bundle la kutosha (makalio) macho na sura ya kupendeza.
Mwarabu wa Tanga baada ya kumwimbisha yule mwanamke akafanikiwa kunaniiiiiii....basi kwa kunogewa na mapenzi ya Bint Tanga akaamua avute kabisa mzigo awe anajilia mwenyewe kwa raha zake.
Shida ikaanza hapo toka kwa ndugu zake. Kuwa inakuaje anaona mwanamke mweusi.yaani ambaye si mwarabu?jamaa alijaribu sana kuwaelezea hawakumwelewa.
Mwishowe ndo akawaambia PUPUCHI YA MWARABU NA HUYO MTANZANIA. ZAFANANA.
Akaamua kuandika katika Mabasi yake kuyaita papuchi ZAFANANA. Utamu ni ule ule iwe mwarabu au mbantu.
Nikakumbuka jamaa yangu mmoja yeye alikuja na kauli mbiu yake ZOTE TAMU
Ni tajiri mmoja mfanyabiashara wa kiarabu ambaye anatokea Jiji la Tanga. Bwana huyu alikuwa hapo mwanzo ameoa mwanamke wa asili yake.yaani mwarabu.
Katika pita pita zake siku moja alifanikiwa kumwona mwanamke mmoja wa kitanga mashallah...ana bundle la kutosha (makalio) macho na sura ya kupendeza.
Mwarabu wa Tanga baada ya kumwimbisha yule mwanamke akafanikiwa kunaniiiiiii....basi kwa kunogewa na mapenzi ya Bint Tanga akaamua avute kabisa mzigo awe anajilia mwenyewe kwa raha zake.
Shida ikaanza hapo toka kwa ndugu zake. Kuwa inakuaje anaona mwanamke mweusi.yaani ambaye si mwarabu?jamaa alijaribu sana kuwaelezea hawakumwelewa.
Mwishowe ndo akawaambia PUPUCHI YA MWARABU NA HUYO MTANZANIA. ZAFANANA.
Akaamua kuandika katika Mabasi yake kuyaita papuchi ZAFANANA. Utamu ni ule ule iwe mwarabu au mbantu.
Nikakumbuka jamaa yangu mmoja yeye alikuja na kauli mbiu yake ZOTE TAMU