Kisa cha Rais Magufuli na bwana Maakov Litzman Waziri wa Afya wa Israel juu ya COVID-19

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,405
30,908
Katika hili janga la korona kuna hawa watu wawili wamenivutia.

Rais Magufuli na bwana Yaakov litzman magufuli tunamjua ila Yaakov ni waziri wa afya wa Israel.

Tatizo la korona lilipoingia Tanzania Magufuli alichukua hatua za haraka kuokoa umma wake kwa kufunga mashule.

Baadae akasema watu waanze kusali ili mungu aiondoe korona hili ni Jambo jema sana.

Bwana Yaakov Litzman waziri wa afya wa Israel analaumiwa kwa kutochukua hatua kwa haraka kuusaidia umma wa wana wa israel.

Mwezi wa tatu alipoulizwa na waandishi was habari juuya covid 19 alijibu namnukuu watu hawana sababu ya kupaniki kwasababu masiya atatuokoa na kovid Kama ambavyo alituokoa utumwani wakati wa Passover Yani pasaka.

Kifupi ni kwamba bwana yaakov anawapa matumaini kwamba pasaka iliyopita masia angeiondoa kovid Israel.

kilichotokea

Huyo bwana Yaakov ndio alikuwa Kati ya watu wa mwanzo kugundulika na kovid mwezi huo huo wa tatu yeye na mke wake wote wakakutwa na Covid ikapelekea wao wenyewe waji self quarantine

Shirika la ujasusi wa ndani la Israel shin bet likaingia kazini kuipekua simu yake na wote aliogusana nao.

Huku kwetu Rais Magufuli mjanja sana yeye ametuasa tuombe lakini pia tuchukue tahadhari maana tusipofanya hivyo tutakuwa tunamjaribu Mungu kiufupi Magufuli kawaambia watanzania Mungu na mbio sio unaomba Mungu umekaa ukitegemea usiliwe na simba

Asubuhi njema jamani Mimi ndio nalala tuonane kesho.
 
🦍 Magufuli akiwa Dodoma kanisani alisema:-
1. Corona ni kaugonjwa kadogo
2. Tusitishane
3. Tusipaniki

Watu walichukizwa na maneno yake ndipo akaenda ikulu kutoa speech rasmi na aliandikiwa.
Viongozi wetu hawako serious enough kwenye hi Vita.

Tungefunga mipaka yetu tangu awali Hali isengekuwa mbaya kiasi hiki.

Mwanzoni wagonjwa walikuwa wakipelekwa Mloganzila, Sasa Amana na Muhimbili ni hospital za Corona, lakini tunaambiwa tuna wagonjwa 170 tu. Je watu 170 hawatoshi mloMloganz Hadi wapelekwe na hospital zingine?
 
Tutapita katika hili, nawaamini viongozi wangu na nawafuatilia maagizo wanayotoa kwa ukamilifu.
 
Tutapita katika hili, nawaamini viongozi wangu na nawafuatilia maagizo wanayotoa kwa ukamilifu.

Wakazi wengi wa MIJINI nchini wanaishi kwenye SLUMS. Ni perfect breeding ground kwa maana ikigota huko maambukizi yatakua HYPERBOLIC, mengi mno. Itafanana na pale kinyesi kinapogonga feni.
Bila hatua STAHIKI hilo JANGA ni kubwa mno.
 
KKatika hili janga la korona kuna hawa watu wawili wamenivutia.

Rais Magufuli na bwana Yaakov litzman magufuli tunamjua ila yaakov ni waziri wa afya wa Israel.

Tatizo la korona lilipoingia Tanzania Magufuli alichukua hatua za haraka kuokoa umma wake kwa kufunga mashule.

Baadae akasema watu waanze kusali ili mungu aiondoe korona hili Ni Jambo jema Sana.

Bwana Yaakov Litzman waziri wa afya wa Israel analaumiwa kwa kutochukua hatua kwa haraka kuusaidia umma wa wana wa israel.

Mwezi wa tatu alipoulizwa na waandishi was habari juuya covid 19 alijibu namnukuu watu hawana sababu ya kupaniki kwasababu masiya atatuokoa na kovid Kama ambavyo alituokoa utumwani wakati wa Passover Yani pasaka.

Kifupi ni kwamba bwana yaakov anawapa matumaini kwamba pasaka iliyopita masia angeiondoa kovid Israel.

kilichotokea

Huyo bwana Yaakov ndio alikuwa Kati ya watu wa mwanzo kugundulika na kovid mwezi huo huo wa tatu yeye na mke wake wote wakakutwa na Covid ikapelekea wao wenyewe waji self quarantine

Shirika la ujasusi wa ndani la Israel shin bet likaingia kazini kuipekua simu yake na wote aliogusana nao.

Huku kwetu Rais Magufuli mjanja sana yeye ametuasa tuombe lakini pia tuchukue tahadhari maana tusipofanya hivyo tutakuwa tunamjaribu Mungu kiufupi Magufuli kawaambia watanzania Mungu na mbio sio unaomba Mungu umekaa ukitegemea usiliwe na simba

Asubuhi njema jamani Mimi ndio nalala tuonane kesho.
Unalala saa hizi upo quarantine nini ?
 
Wakazi wengi wa MIJINI nchini wanaishi kwenye SLUMS. Ni perfect breeding ground kwa maana ikigota huko maambukizi yatakua HYPERBOLIC, mengi mno. Itafanana na pale kinyesi kinapogonga feni.
Bila hatua STAHIKI hilo JANGA ni kubwa mno.
Ni kweli, lakini ni hatua zipi mlitaka achukue zaidi ya hizi? Kila mtu anaishi kwa uwezo aliojaaliwa, nyie mlitaka mfungiwe ndani mapema mapema mngekula nini? Au mnahisi wote tuna ajira za kuletewa pesa mwisho wa mwezi tukiwa majumbani?

Mfano mimi ni lazima nitoke kila asubuhi kuwatembezea watu biashara, nitaondoka kwa corona Mungu akiridhia lakini si kwa njaa maana ni aibu.
 
Ni kweli, lakini ni hatua zipi mlitaka achukue zaidi ya hizi? Kila mtu anaishi kwa uwezo aliojaaliwa, nyie mlitaka mfungiwe ndani mapema mapema mngekula nini? Au mnahisi wote tuna ajira za kuletewa pesa mwisho wa mwezi tukiwa majumbani?

Mfano mimi ni lazima nitoke kila asubuhi kuwatembezea watu biashara, nitaondoka kwa corona Mungu akiridhia lakini si kwa njaa maana ni aibu.

Kama ni watu ku-perish kwa lockdown hiyo ni collateral damage. Bila lockdown basi probability, narudia, probability ya madhara MAKUBWA zaidi kutokea ni kubwa mno. Hii yaweza kua ramli tu au UHALISIA.

TATIZO la SLUMMIZATION katika dynamics za watu kusaka fursa na services MIJINI ambaypo ni phenomenon isiyo ngeni. Kwa vile umeuliza nini "AFANYE" jibu lake ni kwamba tangu majuzi angepiga STOP pale wenziwe waliposhindwa. Watangulizi wake walipaswa kuzingatia na kutekeleza kwa dhati kabisa MIPANGO miji na kudhibiti slums tangu enzi hizo. Janga la corona na mengine yatakula vichwa sana humo, .... na hata vya wapiga kura wa wakubwa wajao pia
 
🦍 Magufuli akiwa Dodoma kanisani alisema:-
1. Corona ni kaugonjwa kadogo
2. Tusitishane
3. Tusipaniki

Watu walichukizwa na maneno yake ndipo akaenda ikulu kutoa speech rasmi na aliandikiwa.
Viongozi wetu hawako serious enough kwenye hi Vita.
Tungefunga mipaka yetu tangu awali Hali isengekuwa mbaya kiasi hiki.
Mwanzoni wagonjwa walikuwa wakipelekwa Mloganzila, Sasa Amana na Muhimbili ni hospital za Corona, lakini tunaambiwa tuna wagonjwa 170 tu. Je watu 170 hawatoshi mloMloganz Hadi wapelekwe na hospital zingine?
Bujibuji ni hatua gani zinachukuliwa au zimechukuliwa kuzuia maambukizi mapya? Naona giza mbele maana kama tunangoja wagonjwa ndio tuanze kutubi badala ya "mass testing" ili kuwatenga wenye maambukizi kuzuia maambukizi mapya. Kwa kweli sioni kabisa "action plan" ya kutokomeza maambukizi mapya; ninachoona ni kuomba Mungu tuu katika dawa zilizopo kwenye majaribio mojawapo iidhinishwe tuingie tuu kwenye kuugua na kutibiwa.
 
Magufuli akiwa Dodoma kanisani alisema:-
1. Corona ni kaugonjwa kadogo
2. Tusitishane
3. Tusipaniki

Watu walichukizwa na maneno yake ndipo akaenda ikulu kutoa speech rasmi na aliandikiwa.
Viongozi wetu hawako serious enough kwenye hi Vita.
Tungefunga mipaka yetu tangu awali Hali isengekuwa mbaya kiasi hiki.
Mwanzoni wagonjwa walikuwa wakipelekwa Mloganzila, Sasa Amana na Muhimbili ni hospital za Corona, lakini tunaambiwa tuna wagonjwa 170 tu. Je watu 170 hawatoshi mloMloganz Hadi wapelekwe na hospital zingine?
Hakuwa na maana kwamba eti anaudharau huu ugonjwa bali alitaka watu wasiwe na hofu. Na kupata matatizo ya kiasaikolojia hivyo watulie na kufanya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli, lakini ni hatua zipi mlitaka achukue zaidi ya hizi? Kila mtu anaishi kwa uwezo aliojaaliwa, nyie mlitaka mfungiwe ndani mapema mapema mngekula nini? Au mnahisi wote tuna ajira za kuletewa pesa mwisho wa mwezi tukiwa majumbani?

Mfano mimi ni lazima nitoke kila asubuhi kuwatembezea watu biashara, nitaondoka kwa corona Mungu akiridhia lakini si kwa njaa maana ni aibu.
Mwenye kazi yake au alieajiriwa hakuna anae taka kufungiwa nifungiwe halafu kazi yangu afanye Nani? Anae Lilia kufungiwa Hana kazi njaa inamsumbua anawaza akifungiwa atapewa na msosi
 
Ni kweli, lakini ni hatua zipi mlitaka achukue zaidi ya hizi? Kila mtu anaishi kwa uwezo aliojaaliwa, nyie mlitaka mfungiwe ndani mapema mapema mngekula nini? Au mnahisi wote tuna ajira za kuletewa pesa mwisho wa mwezi tukiwa majumbani?

Mfano mimi ni lazima nitoke kila asubuhi kuwatembezea watu biashara, nitaondoka kwa corona Mungu akiridhia lakini si kwa njaa maana ni aibu.
Watu Kama wanajua kuwa Ni Rahisi kujifungia ndani kwanini wasijifungie ndani wenyewe bila kuambiwa.Wameshaaambiwa Stay at home.Wao wanataka Rahisi alazimishe ili wapate Cha kusema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom