TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,887
- 11,282
Wajameni hata uwe dini gani, sijawahi sikia maandiko au mafunzo yanayoongoza kukosoa wakubwa kwa vibao au bakora. kila andiko linasema mkubwa ahifadhiwe na kosa lake kuonekana kama kughafirika.
Hili la kibao hata iweje ni utovu wa nidhamu na laana kwa watu wanaobeba baadhi ya mistari bila comprehensive understanding of the bible or quran's context
i hope wisdom itasaidia ndani ya mafundisho kwani hata manabii wangekuwa wanaamua au ku-support physical encounters kila sehemu [except jihad] basi ingekuwa manundu tu
Hili la kibao hata iweje ni utovu wa nidhamu na laana kwa watu wanaobeba baadhi ya mistari bila comprehensive understanding of the bible or quran's context
i hope wisdom itasaidia ndani ya mafundisho kwani hata manabii wangekuwa wanaamua au ku-support physical encounters kila sehemu [except jihad] basi ingekuwa manundu tu