Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Kwahiyo kwasababu kuna majambazi mengi ambayo yapo jela baada ya kupelekwa mahakamani,tuamini mtaani hakuna majambazi sababu hayajakamatwa na kudhibitishwa?,
Bahati mbaya sana, ni Hakimu au Jaji tu ndiye ana uwezo wa kumhukumu, na 'kumpa' majina kama jambazi n.k.
Endapo kuna mtu anatuhumiwa kwa ujambazi, kwa sababu amehusika ama kuhisiwa kuhusika na ujambazi, polisi uwa wanamsaka mtuhumiwa huyo ili afikishwe Mahakama na kushitakiwa kwa ujambazi. Ambapo tuhuma zaweza kunadilika na kuwa makosa yenye kustahili adhabu.
Hivyo, kwa mtu anayejielewa ukishamwita au kumtuhumu mtu na ujambazi, dawa ni mtu huyo kufikishwa Mahakamani. It is that simple bro.
hivi huwa mnatoa wapi ujasiri wa kumtetea Lowassa wakati viongozi wenu wote walisema hadharani EL ni fisadi na ushahidi wanao na video zipo Youtube???,au ndo maana mlipewa lile jina la wanyama wa Serengeti??
Wapi nimtetea Lowassa? Viongozi wangu ni akina nani hao? Tulipewa mimi na nani? Nimeongea niku-address wewe, unajibu kwa kunijumuisha sijui na kundi gani?!?
Btw, the iron is CHADEMA alleged Lowassa for ufisadi (putting him in the List of Shame), but CCM defended Lowassa, even campaigned for him in Monduli several times. Now CCM acts like it has never defended Lowassa when he was shamed for ufisadi!! Only imbeciles would understand these wacky politics.