ogm12000
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 304
- 86
Jamaa mmoja alikuwa ni mwongo sanaa...
Siku moja alikuwa akiwa simulia jamaa zake story! Akaanza hivi
Muongo: Basi bwana jana nilienda kuwinda nikamkamata bonge la swala kisha nikamuangusha chini...
Ghafla simu ya muongo ikaita griiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Akapokea na kuongea kama dk 5 hivi
Muongo: Hivi nilikuwa nimefika wapi kwenye story?
Wasikilizaji: ukamwangusha chini
Muongo: Kisha nikaanza kumtia
Wasikiliza: Ukaanza kumtia swalaaa?
muongo: Niaanza kumchinjaaa
wasikilizaji: hahaaaa
Siku moja alikuwa akiwa simulia jamaa zake story! Akaanza hivi
Muongo: Basi bwana jana nilienda kuwinda nikamkamata bonge la swala kisha nikamuangusha chini...
Ghafla simu ya muongo ikaita griiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Akapokea na kuongea kama dk 5 hivi
Muongo: Hivi nilikuwa nimefika wapi kwenye story?
Wasikilizaji: ukamwangusha chini
Muongo: Kisha nikaanza kumtia
Wasikiliza: Ukaanza kumtia swalaaa?
muongo: Niaanza kumchinjaaa
wasikilizaji: hahaaaa