Kisa cha ''magaidi'' wawili: Sheikh Ramadhani Rajab Chambuso na Sheikh Ahmada Kidege

Kila mtu ana uhuru wa kuandika kile anachokiamini. Mie binafsi napendelea kusoma historia ya waislamu na juhudi zao. Kinachofanyika kuwa kila ukumbi/daraja n.k vinaitwa Kambarage/John, ni kama vile hakukua na muislamu alietoa mchango wowote katika taifa hili. Halafu unataka watu wanyamazie tuu.

Kama hupendelei maandiko ya Sheikh Mohammed kasome mengine, viko vitabu vya waizrael na akina papa john hujazuiwa.
Mr...
Nimeandika historia ya Sheikh Chambuso na Ahmada kwa nia ya kuwaeleza wale wasiowajua wawafahamu kuwa hawa vijana ni vijana wema katika jamii.

Fikiria kijana anajitolea kusomesha Qur'an na Uislam katika madrasa yake na katika shule za sekondari bila ya malipo yoyote.

Kilichonishangaza anatokea mtu anawakashifu hawa vijana na anamtoa hamnazo mwandishi.

Hapa ghafla maudhui yamebadilishwa kutoka historia ya kupendeza na kuelimisha inakuwa malumbano ya nani amesoma vyema na nani bingwa wa Uislam.

Yote haya yana haja gani?

Natija gani itapatikana kwa kumkandamiza nduguyo Muislam?

Unapeka ujumbe gani kwa wale waliomdhulumu nduguyo?

Hakika ikiwa hupendi maandishi ya Mohamed Said unayapita tu kwa salama.

Huna haja ya kusoma.

Unagonga DELETE na jambo limemalizika.
 
Kipaji,
Mimi huwa siandiki kwa nia ya kutoleana jeuri na wasomaji.

Hupenda kalamu yangu ielimishe jamii.

Hapa nimeeleza vipi ninavyowajua hawa vijana kama walimu na watu wema.

Naeleza kuwa labda kama ni kosa ni kuwa kuna nguvu nchini ina uoga na chuki na Uislam.

Hofu na chuki kama zipo vyote havina sababu.

Jamii inahitaji kujulishwa haya na ndiyo maana nikaweka picha ya Sheikh Chambuso yuko ndani ya darasa la shule ya wasichana anawafunza Uislam.

Siku hii alinialika kwa sababu tulikuwa tumewapelekea wanafunzi zawadi ya Qur'an.

Nini Sheikh Chambuso anawafunza mabinti zetu?

Anawafunza maneno ya Allah waje kuwa mama wema wajenge familia bora.
Mzee mohamedi pole sana. Wewe ni mwalimu wangu wa hiyar. Hata mm nakumbana na maswahaba kama yako nikiwa kazini. Nafanya kazi na watu wasielewa mambo kwa kina lakini wanaoitwa wasomi! Wamejaa humu jukwaani. Pole sana.
Kwangu tatizo siyo ugaidi maana hajawahi kuwepo Tanzania.... tatizo ni tafsir ya neno gaid.
 
Mimi naamini hata Osama Bin Laden angekamtwa akiwa hai na kufikishwa mahakamani upo uwezekano kuwa ushahidi ungekosekana dhidi ya shutuma alizokuwa nazo.

Kwa sababu hiyo, nachelea kusema kuna uhusiano mkubwa sana ya matukio hayo ya kigaidi kuhusishwa na baadhi ya hawa wahusika wanaokua wakishukiwa na tuhuma hizo, kwani wanapokamtwa na kuwekwa vizuizini ama kuuwawa kwemye mashambulizi, basi hali ya matukio (ya kigaidi) katika maeneo husika hupungua ama kuisha kabisa, sasa hapo inabaki kitendawili, iweje inapotokea hivyo hali ya amani na utulivu inarudi, na wasipokamatwa na kuachwa wakiendelea na mafundisho yao jamii inakumbwa na matukio mabaya?

Kukosekana kwa ushahidi wakati mwingine si hoja, kwani mipango na mikakati ya utekelezaji wa matukio hayo huwa ni mikakati yenye siri nyingi. Hivyo inapotokea wakikamtwa hali inakua shwari, ni vyema hata nyie wanaharakati (benevolent) wa kiislamu mnapwa kukaa katikati na kusimamia ukweli, kwa sababu jamii ni ya wote, dini si ya wote hivyo msiruhusu kutetea wanye kujihusisha na mafunzo yanayochochea matendo maovu kupitia dini, si sawa hii hata kidogo.
Inakuwa shwari kwa sababu hao wanaofanya hayo matokeo ya ugaidi wana kuwa hao hao serikali. Tumeshaona mara nyingi watu wakikamatwa Na kulazimishwa kuchukua mapanga Na Polisi Na hupigwa picha tukaambiwa eti walitaka kushambulia polisi. Hayo tumeshayazowea kwa vyama vya Siasa hasa siku Za uchaguzi
 
Mzee mohamedi pole sana. Wewe ni mwalimu wangu wa hiyar. Hata mm nakumbana na maswahaba kama yako nikiwa kazini. Nafanya kazi na watu wasielewa mambo kwa kina lakini wanaoitwa wasomi! Wamejaa humu jukwaani. Pole sana.
Kwangu tatizo siyo ugaidi maana hajawahi kuwepo Tanzania.... tatizo ni tafsir ya neno gaid.
Kiinua...
Wahenga walisema ujinga donda la kichwa.
 
answer my swali pls
 
Tajiri...
Ikiwa mtu atajadili tatizo la ugaidi kwa mtazamo wa Marekani na kudhani kuwa Tanzania kuna ugaidi atapata shida kubwa sana.

Matokeo yake ndiyo haya ya juhudi ya kutaka kuaminisha kuwa Tanzania kuna magaidi na magaidi wenyewe ni Waislam.

Waislam wanakamatwa kwa vishindo vikubwa wanatupwa magerezani na kesi zinashindikana kwa kukosa ushahidi.

Hadi hivi sasa tunapojadili kuwekwa kwa mashekh gerezani kwa miaka tisa na ushahidi kukosekana kuwa masheikh walikuwa magaidi, hakuna mahakama yeyote Tanzania iliyoweza kumuhukumu mtuhumiwa yeyote awaye yule kwa kosa la ugaidi.

Anakamatwa Sheikh Chambuso Mwalimu wa kusomesha Qur'an na Islamic Knowledge anapewa tuhuma za ugaidi, mtu ambae hana mafunzo yoyote ya matumizi ya silaha ila kushika chaki mbele ya ubao kufundisha.

Anafungwa kitambaa cheusi usoni akihamishwa Tanga kwenda kuwekwa gerezani Handeni akiwa chini ya ulinzi mkali.

Njia nzima kutoka Tanga hadi Handeni Sheikh Chambuso akiwa katikati ya askari waliosheheni silaha anasoma Surat Yasin na kumsalia Mtume SAW akiomba nusra yake na ya Waislam.

Ndani ya jela Sheikh Chambuso anakuwa Imam wa kusalisha sala zote tano na kusomesha Uislam kiasi wafungwa wenzake wanaambizana kuwa inaelekea kuna nguvu inapiga vita Uislam kwa mgongo wa ugaidi.

Nina ''paper,'' niliwasilisha katika mkutano Chuo Kikuu Cha Ibadan kuhusu ugaidi.
Haya hapo chini ni baadhi ya maneno yaliyomo katika ''paper,'' hii:

''In order to understand the Tanzanian political environment and to appreciate and comprehend the impact of ‘terrorism’ as defined by the United States, first we need to point out that this phenomenon was and still is a problem which involves the government of the United States and to a limited extent its allies.

The shock of 9/11 forced the United States to not only to include its allies in its war against terrorism but also other governments not forming part of the United States geo-political sphere like Tanzania.

It is in this way that Tanzania and other African countries were included in the war against terrorism.

Secondly, we have to look into the perception of associating Islam as an ideology which nourishes terrorism, the notion which seems to be gaining ground.

Thirdly, we have to qualify the notion of ‘terror.’

What kind of violence qualifies to be considered as an act of ‘terrorism’ and therefore deserving condemnation?

At the moment it seems it is only when civilians are targeted for attack that the act assumes the connotations of ‘terror.’

This is in contrast where modern weaponry is used by nation states in annihilation of a people.

Examples of the latter are abound.

The sight of a suicide bomber in television screens is just as familiar as the sight of the Apache helicopters supported by heavy fortified tanks bombing, killing and maiming innocent civilians, be it in Afghanistan, Gaza or Iraq.

Now where do we draw the line between these two scenarios?''

Kwa mukhtasari nilikuwa nasema kuwa Tanzania kwa shinikizo la Marekani imetiwa katika vita ambavo haviwahusu.

Ugaidi umesababishwa na Wamarekani wenyewe kwa ubaya wao dhidi ya mataifa mengine.

Maneno haya yalinisababishia matatizo makubwa sana kwani Wamerekani walikuwapo katika mkutano ule kama wafadhili na waliyachukua maneno yangu katika picha na sauti na walifikisha yote hapa nyumbani ili nishughulikiwe kama inavyostahili.

Haukupita muda mrefu nikirejea Dar es Salaam nilikamatwa Uwanja wa Ndege Dar es Salaam na kuhojiwa na maofisa wa usalama.

Marekani wakaniorodhesha katika orodha yao ya ''Sympathisers,'' yaani wanaohurumia magaidi na pasi yangu ya kusafiria ikawekewa alama maalum ambayo kwa jicho huioni ila ''Passport Control,'' uwanja wa ndege kokote duniani inaonekana.

Matokeo yake watu wa usalama kote unakosafiri wanakufatilia ingawa unaruhusiwa kusafiri na kuingia nchi yeyote.

Inakera kidogo kwani unashughulishwa viwanja vya ndege kwa upekuzi zaidi ya kawaida, unapata shida kutumia ATM nje ya nchi na kwa ufupi unaishi ukihisi kuwa kuna watu wanakutazama muda wote.

Yamenitokea Namanga, Schipol Amsterdam Netherlands, Detroit Marekani na Berlin Ujerumani.

Kisa kwa kusema kweli.
Uonevu bila sababu.

Unaweza kuisoma ''paper'' yote hapo chini:
oky
 
Uislam unataka watu wasome na wajue kutatua matatizo yao kwa njia ya elimu...Ikiwa jamii itatengeneza wasemaji badala ya wasomi,faida yake ni hii...Hata siku moja,ulimi hauleti suluhisho katika Jamii

Ndio maana Uislam ukatufunza,Ikiwa Mtawala ni muovu na dhaalim,na Raia zake ni dhaifu hawana hila na uwezo wa kumtoa...Basi kukaa kimya ni bora kwao hata kama watapigwa migongo yao na kuchukuliwa mali zao....ni juu yao kujilazimisha na Subra,kwani hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho....

Tusomeni Dini yetu
 
Acha kuongea km popoma , ni kanisa Gani na ni siku Gani kanisa lilishika nchi?
 
Oky,
Wamarekani wanathamini sana utafiti wao wanaamini elimu yote iko ndani ya utafiti.

Ukifika vyuo vya Marekani wana vijana wadogo kutoka kila kona ya dunia wanafundisha katika vyuo vyao.

Ukifika Johns Hopkins University, Washington utashangaa kuwaona vijana kutoka India na Bangladesh wanasomesha na kufanya.urafiti hapo.

Juu ya kuwa Wamarekani ''waliniadhibu,'' kwa kuwa tulipishana katika suala la ugaidi walinialika kwao kuzungumza katika vyuo kuhusu historia ya Tanganyika.

Wakati wao wananialika walikuwa wamechelewa nilikuwa nishazungumza vyuo vingine kabla na kuandika ''paper'' kadhaa kwa hiyo matatizo ya nchi yetu yalikuwa yanafahamika kwingi na watafiti walikuwa wakija na kufanya tafiti zao mbalimbali katika kutafuta ukweli wa yale yanayotusibu.

Moja ya waliyotaka sana kujua ni hili la ugaidi na ''paper,'' niliyowasilisha University of Ibadan hawakuipenda.

Paper hizo zote hapo chini zinaweza kupatikana Library of Congress, Washington DC:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006.
Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.
Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam.
Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam.
Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam.
Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam
The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam
Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam.
In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi).
The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Awards: Several Awards

Visiting Scholar: (2011)
University of Iowa, Iowa City, USA
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA.
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED

Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.

1624176438140.png

Library of Congress, Washington DC


 
Nimejaribu kutrace reply za huyu mtoa post anasumbuliwa na vifuatavyo

1) hana uzalendo wa taifa lake
2) kafungwa minyororo ya udini haambiw wala haelew kitu
3) hajui mfumo wa uendeshaji wa nchi yake mf anasema kanisa limeshika nchi ( poor reasoning ever mbele ya watu wazima)
4) Propagandist ( Mchochezi kimkakati kwa maslai binafs )
Huyu mtu tuwe nae makini jaman , ni mchochezi wa hali na mali , watanzania tusimame kidete kuutunza umoja , amani na upendo baina yetu bila kujali itikadi zetu , Jeshi la polisi lina viongoz waumin wa uislamu kwa wakristo hata bungeni ni hivyo hvyo pia hata baraza la mawazir pia ni hivyo hivyo , ktk nyadhfa tatu za juu tangu kipind cha Mwinyi waislam wamekuwa wakishika nyadhfa 2 kati ya 3 za juu kbs taifani mf tangu serikali ya kikwete Rais alikuwa muislam na makam ni muislam pia hata Kipind cha magu makamo alikuwa muislam na wazir mkuu ni muislam pia hata awam hii rais ni muislam pia hata wazir mkuu ni muislam , sasa huyu masikn mmoja anakuja kuona hao mashehe wanaonewa kuliko hata waislamu wenzak ambao wapo serikalin na wahusika kweny uendeshaj wa kesi za hao jamaa , USIONE KAMA WATZ HATUJIELEWI ASEEW
 
Mr...
Nimeandika historia ya Sheikh Chambuso na Ahmada kwa nia ya kuwaeleza wale wasiowajua wawafahamu kuwa hawa vijana ni vijana wema katika jamii.

Fikiria kijana anajitolea kusomesha Qur'an na Uislam katika madrasa yake na katika shule za sekondari bila ya malipo yoyote.

Kilichonishangaza anatokea mtu anawakashifu hawa vijana na anamtoa hamnazo mwandishi.

Hapa ghafla maudhui yamebadilishwa kutoka historia ya kupendeza na kuelimisha inakuwa malumbano ya nani amesoma vyema na nani bingwa wa Uislam.

Yote haya yana haja gani?

Natija gani itapatikana kwa kumkandamiza nduguyo Muislam?

Unapeka ujumbe gani kwa wale waliomdhulumu nduguyo?

Hakika ikiwa hupendi maandishi ya Mohamed Said unayapita tu kwa salama.

Huna haja ya kusoma.

Unagonga DELETE na jambo limemalizika.
Unamwitaje mtu mwema ilihali hulali nao na wala hushindi nao , Gaidi anaeza vaa sura yyt either mchungaj , padre , sheikh , imam , mwl , daktar , injinia , hata kuwa omba omba , UGAIDI unajificha ndani ya kichaka kik mf kuna dogo alipatikana huko Garissa kweny lile tukio la kigaidi ingalikuwa wazaz wake walijua yupo masomoni dodoma , just imagine serikali ingemkamata huyo mtot mapema , najua ungekuja na thread apa ya kumtetea mwislam mwenzio , kwa hayo maandish machach nakushaur acha kumtetea mtu usijua undani wke kisa unamwona wasif wke wa njee , serikali haiwez kumwonea mtu ukizingatia serikal imejaa waislam kuanzia ikulu bungeni hadi jeshini hao wote sio vipofu na wanaipenda dini yao ata kuliko ww , OVA
 
Unamwitaje mtu mwema ilihali hulali nao na wala hushindi nao , Gaidi anaeza vaa sura yyt either mchungaj , padre , sheikh , imam , mwl , daktar , injinia , hata kuwa omba omba , UGAIDI unajificha ndani ya kichaka kik mf kuna dogo alipatikana huko Garissa kweny lile tukio la kigaidi ingalikuwa wazaz wake walijua yupo masomoni dodoma , just imagine serikali ingemkamata huyo mtot mapema , najua ungekuja na thread apa ya kumtetea mwislam mwenzio , kwa hayo maandish machach nakushaur acha kumtetea mtu usijua undani wke kisa unamwona wasif wke wa njee , serikali haiwez kumwonea mtu ukizingatia serikal imejaa waislam kuanzia ikulu bungeni hadi jeshini hao wote sio vipofu na wanaipenda dini yao ata kuliko ww , OVA
4by...
Hawa vijana si mimi ninaowafahamu mji mzima wa Tanga wanafahamika kwa ubinadamu wao kama nilivyoeleza.

Sheikh Chambuso aliachiwa na mahakama.
Sheikh Kidege huu mwaka wa pili ushahidi haujaletwa mahakamani.
 
Inakuwa shwari kwa sababu hao wanaofanya hayo matokeo ya ugaidi wana kuwa hao hao serikali. Tumeshaona mara nyingi watu wakikamatwa Na kulazimishwa kuchukua mapanga Na Polisi Na hupigwa picha tukaambiwa eti walitaka kushambulia polisi. Hayo tumeshayazowea kwa vyama vya Siasa hasa siku Za uchaguzi
Ndani ya serikali kuna watu wa dini zote, waislamu pia wapo, si rahisi serikali ikawa na ajenda kama hiyo, na ingekua hivyo hayo matukio yasingeliisha wanapokamatwa bali yangeendelea kwa kisingizio cha kuupimga uislamu...

Jambo moja ambalo yafaa binadamu wote tulielewe ni kuwa, haitokaa iwezekane dini fulani ikafanya juhudi za kuipiteza dini nyingine katika hii dunia, hasa hizi dini mbili zenye waumuni wengi zitaendelea kuwepo hata iweje...hakuna iliyo bora ya nyingine, itoshe kuheshimiana, kujaliana na kuthaminiana tuishi kwa amani basi.
 
Ndani ya serikali kuna watu wa dini zote, waislamu pia wapo, si rahisi serikali ikawa na ajenda kama hiyo, na ingekua hivyo hayo matukio yasingeliisha wanapokamatwa bali yangeendelea kwa kisingizio cha kuupimga uislamu...

Jambo moja ambalo yafaa binadamu wote tulielewe ni kuwa, haitokaa iwezekane dini fulani ikafanya juhudi za kuipiteza dini nyingine katika hii dunia, hasa hizi dini mbili zenye waumuni wengi zitaendelea kuwepo hata iweje...hakuna iliyo bora ya nyingine, itoshe kuheshimiana, kujaliana na kuthaminiana tuishi kwa amani basi.
Inte...
Hili ni tatizo kubwa sana na limepata kusemewa na wengi kwa kutaja wachache - Warsha (1981), Jumbe (1992), Malima (1987) na Kondo (1999).

Angalia hapo chini ukurasa kutoka Waraka wa Jumuia ya Wanataaluma wa Kiislam (2021).
Hili ni suala nyeti sana kiasi serikali siku zote imekuwa kimya.

Kujadili jambo hili linataka ujuzi na utulivu wa fikra.

Screenshot_20210620-173501_Office.jpg
 
Inte...
Hili ni tatizo kubwa sana na limepata kusemewa na wengi kwa kutaja wachache - Warsha (1981), Jumbe (1992), Malima (1987) na Kondo (1999).

Angalia hapo chini ukurasa kutoka Waraka wa Jumuia ya Wanataaluma wa Kiislam (2021).
Hili ni suala nyeti sana kiasi serikali siku zote imekuwa kimya.

Kujadili jambo hili linataka ujuzi na utulivu wa fikra.

View attachment 1824654
We mzee kumbe una matatizo mpaka leo unaangalia dini kwenye uongozi. Cha msingi ni kuangalia je viongozi ni wakiafrika watu kama nyie ndio mpo radhi kuongozwa na mkoloni Mwarabu kisa dini moja.. Unasema ulipigania uhuru ila inaonyesha ulikua msindikizaji tuu
 
Unamwitaje mtu mwema ilihali hulali nao na wala hushindi nao , Gaidi anaeza vaa sura yyt either mchungaj , padre , sheikh , imam , mwl , daktar , injinia , hata kuwa omba omba , UGAIDI unajificha ndani ya kichaka kik mf kuna dogo alipatikana huko Garissa kweny lile tukio la kigaidi ingalikuwa wazaz wake walijua yupo masomoni dodoma , just imagine serikali ingemkamata huyo mtot mapema , najua ungekuja na thread apa ya kumtetea mwislam mwenzio , kwa hayo maandish machach nakushaur acha kumtetea mtu usijua undani wke kisa unamwona wasif wke wa njee , serikali haiwez kumwonea mtu ukizingatia serikal imejaa waislam kuanzia ikulu bungeni hadi jeshini hao wote sio vipofu na wanaipenda dini yao ata kuliko ww , OVA
Hili zee lililoleta uzi huu ni lidini na mtu mzima ovyo yupo radhi amsaidie Mwarabu anayemuita nyani kisa muislamu na kuacha kumsaidia Mwafrika mwenzake kisa sio muislamu.. Hawa watu hawataki kuongoza nchi
 
We mzee kumbe una matatizo mpaka leo unaangalia dini kwenye uongozi. Cha msingi ni kuangalia je viongozi ni wakiafrika watu kama nyie ndio mpo radhi kuongozwa na mkoloni Mwarabu kisa dini moja.. Unasema ulipigania uhuru ila inaonyesha ulikua msindikizaji tuu
Edwayne,
Kwa kweli si adabu kumwita mtu "We fulani," khasa unapojua kuwa huyo unaezungumza nae ni mzee kama mie au ni mtu mzima wa makamo.

Adabu ni kitu cha bure.
Hii ni dalili ya kibri au kuwa umeghadhibika.

Mimi sijasema nimepigania uhuru.

Waliosimama dhidi ya ukoloni ni babu, bibi, baba, wajomba na shangazi zangu na nimeandika kitabu kuhusu historia hii.

Hawa ndiyo waliounda African Association na TANU wakapigani uhuru wa Tanganyika kuweka haki na usawa kwa watu wote.

Nilichoweka hapo kinaonyesha hali iliyopo nchini.

Wafuasi wa dini moja wamehodhi uongozi.

Hii ni fitna.

Inaelekea hujui tatizo linalokabili nchi yetu au hupendi kuona mgawanyo wa haki kwa waumini wa dini zote.

Ikiwa hujui ukweli huu hutoweza kujadili.
 
Back
Top Bottom