Kisa cha ''magaidi'' wawili: Sheikh Ramadhani Rajab Chambuso na Sheikh Ahmada Kidege

Sheikh Mohammad Said
Dola inaletwa na Allah na si vinginevyo
Niseme jambo
Hakuna kheri katika Umma,ikiwa Ujinga ndio alama yao
Hakuna Dola itakayosimama imara ikiwa Watu wapo mbali na misingi mama mfano wa Yale walioshikamana na Maswahaba رضي الله عنهم
Wengi wa Masheikh zetu wamekumbatia Ushirikina,Uzushi,Ujinga na Maslah ya nafsi zao

Ni wachache sana katika wachache
Tumuogope sana Allah kwa kila tulifanyalo
Abu...
Hakika.
 
nakuheshimu sana kwa kuwa na huu mtazamo kiongozi.
Wewe unaweza fundisha dini kwa mtu asiekua wa dini yako na mkaelewana na hata aka silimu bila vitisho wala ghasia. Epuka hisia kwenye mijadala migumu,badala yake chambua facts na hoja tu.
Nimekuwepo "field" baada ya hizi ishu and trust you me,kuna mengi sana ambayo watetezi wa "wanaharakati" hawayajui!
Kama yepi mkuu tupe hata kwa UCHACHE
 
Mr...
Tanzania lipo tatizo kubwa kuhusu chochote chema kuhusu Uislam.

Ipo hofu kubwa na chuki dhidi ya Uislam.

Umoja na udugu ulikuwapo wakati Waislam wanaongoza mapambano ya kudai uhuru.

Baada ya uhuru kupatikana mambo yakabadilika.

Hata kuwataja mashujaa Waislam waliompokea Nyerere na kuunda TANU hakutakiwi na majina yao kufutwa katika vitabu vyote vya historia ya Tanganyika.

EAMWS jumuia ya Waislam iliyosaidia Waislam katika mengi wakata wa ukoloni ikavunjwa ikaundwa BAKWATA.

Lakini hatutabaki kimya haya yote tutaendelea kuyaeleza na kuyapigania kwa njia za amani hadi haki itakapotamakaki.

Ndiyo maana nikaandika kitabu, "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika (1998).

Kitabu hiki hadi sasa kishachapwa matoleo manne na kipo kwa Kiingereza na Kiswahili.
Nakipataje chenye lugha ya kiswahili cha the life and time of Abdulwahir Sykes
 
Back
Top Bottom