Kisa cha kweli, mpenzi wangu alikuwa anasagwa

Kizibo

JF-Expert Member
Jul 3, 2018
3,863
8,350
Heshima kwenu wakuu.

Sitaki kuleta mbwe mbwe sana, moja kwa moja niende kwenye mada; lakini kabla sijaenda kwenye mada moja kwa moja naomba kwanza niweke sawa kuwa ninachoenda kusimulia hapa ni KISA CHA KWELI KABISA, Na sijawahi kuanzisha uzi wa kutunga au wa kusimuliwa. Pia niweke sawa kwanza kuwa, huu uzi siuleti kuomba ushauri, nimeuleta Kama sehemu ya ku-share experience niliyoiptia

Baada ya hayo naomba niende moja kwa moja kwenye kisa.

Mwaka 2017 Kama mwezi wa 12 nikiwa chuo Dar, Katika harakati za kusajili semina (seminar presentation registration) nilikutana na msichana wote tukiwa mwaka wa mwisho (mwaka 3), sikuwah kumuona na yeye hakuwahi kuniona, baada ya hapo nikaanza kuzoeana nae kupitia rafiki yake, ambae pia(huyo rafiki yake alkuwa demu wa mchizi wetu(kwenye crew yetu).

Huyo rafiki yake walisoma wote advance na mwaka wa 2 wakagombana (kutoelewana) ndo sababu wakati nafahamiana na rafiki yake sikuweza kumfahamu huyu msichana (aliekuja kuwa demu wangu).

Baadae nikaanza nae mahusiano nae, na kipindi hicho alikuwa na mchiz aliekuwa anasoma chuo mkoan, ila hawakuwa vzr sana, so ilikuwa simple mm kumshawishi hadi nikawa nae na akaachana na yule jamaa!!

Mwaka 2018 mwezi Kama wa 2/3 tulipata likizo ndogo, mnyamwezi nikabaki dar demu akaenda kwao, HAPA NDO MKANDA UNAANZA!!!.
Akiwa nyumbani, Kuna msichana ambae alisoma nae shule (demu wangu akiwa advance na huyo binti akiwa O-level) akaja kumtembelea.

Siku 1 nikaota anawasiliana na ex wake, nikampigia simu nikamwambia KUNA KITU HAKIKO SAWA HUKO, akabisha na tukagombana sana siku hyo.

ANARUDI DAR CHUO.

likizo ilipoisha, alianza safar kurudi dar chuo, safar ni ndefu sana na huwa wanafika saa 6-7 usiku. Saa 4 nikawasiliana nae nikamwambia akifika ubungo tuwasiliane nijue la kufanya, matokeo yake alikuja kutuma text Kama 8 anasema yuko maeneo fln kwa jamaa aliekuwa anasafiri nae toka huko na alikuwa mtu wa huko anapotoka, akasema alishindwa kuja kwake peke yake..nilim-mind hadi asubuh huyo jamaa akanipigia simu akasema nisiwe na wasi wasi nimsamehe, kwa kuwa alikuwa jamaa ninaemfaham nilipotezea japo nilihisi kitu.


Asubuhi nikaenda kwake, akanipokea vzr sana, akanipokea mboga nilizokuja nazo tukapiga stor nikarudi chuo.

NAFUMANIA SMS ZA KUSAGANA NA YULE MGENI WAKE.

Jioni nikaenda kwake, nikamgegeda vzr sana, na nilikuwa nikianza kumgegeda hadi anakimbia kitanda, anaita majina yote mm nipo tu napump.

Baada ya kumgegeda kama mabao ma2, akawa anaandaa msosi, mm nikawa na siku yake, kikawaida tulikuwa hatuwekean mipaka kwenye simu. Nikaanza kupekua kwenye sms. Mamaaaaaaaaaaaaaaa!!!

Ngoja nijaribu kunukuu baadhi ya sms


Mgeni: "Naomba leo unifanyie chochote nitakachotaka"

Demu wangu: "Kama nikiweza

Mgeni:Yaani jana ulianza kulia kwa sauti hadi nikaogopa Kama watasikia wazazi.

Demu wangu: Yaani pale nilikuwa nimezidiwa sana.

Mgeni : Hivi mama hajawahi kukuulza mm na ww tukoje, maana mambo ya kulizana usiku haya!!

Demu wangu: Hapana wala usijal.

Demu wangu : huku chini panauma. Jana uliniumiza.


Siku 1 inaonekana walikosana wakaanza kutupiana mabango, sms zikawa hivi.

Demu wangu: ....(jina) hivi we ndo wa kuniambia umefanya mapenzi na wasichana 6 wakati uliniambia hujawahi kufanya mapenzi na msichana mwinhine tofauti na mm???




Baada ya kusoma sms nyingi, demu wangu alishtuka akaja kitandan nilipokuwa nimejilaza chali, alihisi Kuna kitu. Akaja akaomba simu, nikamwabia asubiri, akapaniki pale pale akaanza kutetemeka, ndo nikamuonesha zile sms..bwanaweee alitoka jasho ghafla.


ALIVYOJITETEA!!!


Alisema kuwa katika shule za wasichana kufanya mapenzi ni vile wanavyokuwa karibu, hug, kissing n.k na sio SEX.

Halafu vile KUZIDIWA NA KUUMIA HUKO CHINI et yuke rafiki yake alishazoa akitaka kulala akubanditiwe au achezewe nywele, Sasa siku hiyo demu wangu alikuwa amekataa kumfanyia hvyo ndo akawa anamkaba kumlazimisha ndo akazidiwa akaanza kutoa sauti Kama kiguno na akamuumiza na goti huko kwenye mbunye/papuchi Kama wakiu mnavyoiita humu jamvini.

Baada ya hapo alienda kumuita rafiki yake aje amsaidie kunielewesha, ila sikuelewa nikaondoka.
Tulikaa Kama wiki 1 hatuelewani baadae tukaanza kuelewana na tukaendelea na mahusiano. Baadae tukamaliza chuo na tukaendelea na mawasiliano na mahusiano pia na tukaahidiana kuoana.



ANAKIRI KUSAGWA NA KUWEKA WAZI MENGINE ALIYOYAFANYA/ALIYOYAPITIA.



siku 1 usiku wa manane katika kuchati nikambembeleza aniweke wazi kila kitu na kumuahidi kumpenda zaidi. Alifunguka kila kitu na naomba ninukuu


1 KUHUSU KUSAGWA

"Nikiwa advance nilikuwa naishi na ....(jina la yule mgeni) chemba 1, siku 1 akaniambia kuwa ana homon za kiume. Usiku 1 akaniambia kuwa anahis kusex, nikamwambia atulie hyo hali itapotea, tukalala, baadae akaniamsha akasema amezidiwa, akaanza kunikaba kwa nguvu na kuniambia nikijaribu kufanya chochote ataniua mule ndani, akaanza kunipapasa, akaingiza mkono kwenye K akaanza kunichezea, kusema KWELI nihisi hisia kali sana nikajikuta natoa miguno ya ajabu huku nikihisi hamu kubwa sana ya kusex..baadae aliniacha nakuniambia nimemwaga akaondoka. Alikaa Kama wiki 1 simuoni.

Baadae alirudi tukasameheana lkn Baada ya will kadhaa tulijikuta tunarudia na ikawa mchezo wetu kila usiku.

Nilipomaliza shule kipindi najiandaa kwenda jkt yeye akiwa Bado anasoma alikuja nyumban tukawa tunafanya Tena.
Na ile likizo nilipokuja nyumban ukabaki chuo tulifanya mara 1.


KUFANYA MAPENZI NA SHEMEJI YAKE MUME WA DADA YAKE.

Mwaka huu mwanzoni aliharibikiwa simu kubwa(simu janja a.k.a smartphone) nikaomba details za mitandao yake ya kijamii, nikakuta sms ya jamaa 1 anasema amemmis, Sasa mm nikawa namjib kwa kashfa akawa amempigia demu wangu..kumbe ni shemej yake mume wa dadake. Demu wang akawa amenipigia simu ananiulza Kuna mtu nimemjib vby huko fb?? Akasema shemej yake amempigia smu anamfokea et anamdharau hadi anamjibu kwa dharau..Baada ya kum-mind akanifungukia kisa chake na shemej yake..naomba ni-paraphrase:-

Akiwa advance dadake pia alikuwa anafundisha huko huko, na mume wake alikuwa ametoka chuo akaenda kwa mke wake..siku 1 demu wangu akawa anaumwa akatoka shuleni akaenda kwa dadake. Kesho yake asubuh dadake akawa ameenda kazin shemej yake aliingia chumbani kwake akambaka ila hakumtoa bikra et alilia kwa saut akaogopa akamwacha. Baada ya Kama siku 3 wakarudia kusex Tena safar hii kwa makubaliano kabisa lkn hakumbikiri maana hakuona damu..aliekuja kimbikir et ni mshakj wake wa 1st year chuoni.



Wakuu hii ndo experience yangu kwa huyu binti. Samahanini kwa uzi mrefu.

Hii so stori ya kutungwa wala kuambiwa na sio chai.



Mshana Jr
Zero IQ
baba saleh
Demiss
Mother Confessor
Kiranga


Kuna watu nataman niwatag ila majina yao sijayashika vzr.


Karibuni wote tushee experience.

Nawasilisha
 
Usome na hapo
 
Usome na hapo
Wakuu wasichana wanasagana kabisaa
 
Hii scenario haina tofauti na ya kwangu . Ila yule wangu heti alinambia jini sijui shetani ndo lilikuwa linamchakata aisee sikuwahi kumuaminini baada ya kutambua hilo
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom