agata edward JF-Expert Member Nov 25, 2014 6,641 9,389 Nov 12, 2017 #21 hata mimi ningeondoka hatufwati mali kwenye ndoa zaidi ya mapenzi na uaminifu.
Airmanula JF-Expert Member Nov 30, 2016 3,748 5,237 Nov 12, 2017 #22 Hhahaha aondoke tu kwaio anamuachia mumewe kirahisi hivo huyo mzungu
venchwa JF-Expert Member Aug 5, 2016 1,677 1,592 Nov 12, 2017 Thread starter #23 Sky Eclat said: I like her spirit. Click to expand... Mmm
venchwa JF-Expert Member Aug 5, 2016 1,677 1,592 Nov 12, 2017 Thread starter #24 agata edward said: hata mimi ningeondoka hatufwati mali kwenye ndoa zaidi ya mapenzi na uaminifu. Click to expand... Unaongea.tu na vyuma vya MAGUFULI vilivyokaza
agata edward said: hata mimi ningeondoka hatufwati mali kwenye ndoa zaidi ya mapenzi na uaminifu. Click to expand... Unaongea.tu na vyuma vya MAGUFULI vilivyokaza
venchwa JF-Expert Member Aug 5, 2016 1,677 1,592 Nov 12, 2017 Thread starter #25 greater G said: Huyo mwanamke ni kilaza aisee sijapata kuona duniani hapa. Atakuwa hatumii akili kufikiria bali anatumia makalio kufikiria. Km ni kweli jamaa kafanya hivyo anapaswa kupewa hongera. Wanawake akili zenu mnazijua wenyewe Click to expand... Kabisa
greater G said: Huyo mwanamke ni kilaza aisee sijapata kuona duniani hapa. Atakuwa hatumii akili kufikiria bali anatumia makalio kufikiria. Km ni kweli jamaa kafanya hivyo anapaswa kupewa hongera. Wanawake akili zenu mnazijua wenyewe Click to expand... Kabisa