Kirusi gani kinautafuna uwanja wa ndege wa Songwe kule Mbeya

TEMA

Member
Oct 1, 2007
27
0
Jamani wana JF ninawaomba kuuliza hivi mbona uwanja wa ndege wa songwe Mbeya umekuwa ni kitendawili kisichoteguka? Haumaliziki kwa nini -wakandarasi hakuna? Hawautaki? Fedha hakuna? Ni kirusi gani hasa wajemeni ninaomba msaada wenu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom