Kirusi Dukuzi Kimedhibitiwa Kusambaa ila Tatizo Halijaisha: Ushauri Jumatatu Makazini

Hizi ni habari nyeti zinazohusu usalama wa data za watu.

Utategemeaje uende sehemu tu na watu wakuruhusu kirahisi?
Mkuu, mie nilikua niwepa njia za kuji protect na documentation nikawapa cha ajabu, baada ya mda nikakuta wameifanya ile kazi kwa kutumia report yangu na ushauri niliowapa, bila kunipa taarifa... Walinifanyia uhuni...
 
Mkuu, mie nilikua niwepa njia za kuji protect na documentation nikawapa cha ajabu, baada ya mda nikakuta wameifanya ile kazi kwa kutumia report yangu na ushauri niliowapa, bila kunipa taarifa... Walinifanyia uhuni...
Kwani wewe ulikuwa hujui kitu kama hicho kinawezekana?

Na kama ulijua, ulitumia hatua gani kujihami kisitokee?

Ukijiita Ninja uwe Ninja kweli. Sio Mama Theresa unajiita Ninja
 
Hizi ni habari nyeti zinazohusu usalama wa data za watu.

Utategemeaje uende sehemu tu na watu wakuruhusu kirahisi?
Na kama taarifa zao, tayari nilikua na uwezo wa kuzifanya chochote, but kwa maadili nikawa naanda documentantion na evidance, but uhuni mwingi, nilikua nachukia hadi nikaacha kutumia pc kwa mda mrefu sana
 
Kwani wewe ulikuwa hujui kitu kama hicho kinawezekana?

Na kama ulijua, ulitumia hatua hani kujihami kisitokee?

Ukijiita Ninja uwe Ninja kweli. Sio Mama Theresa unajiita Ninja

Mie nilikua nawaamini na hua naamini kila mtu, but wao hawakua waaminifu. Pia nilizingatia maadili, ningekua muhuni ningeeiba data zao na kuzivujisha, au ningewatia hasara. But kimaadili siwezi kufanya uhuni
 
Mtu wa IT Security kuamini kila mtu ni character flaw inayoingilia utendaji wa kazi.

Unatakiwa kuwa the exact opposite.

Niliwaamini katika, nia njema ya kwamba baada ya kujua tatizo wange thamini mchango ulio tolewa. Kuna level za kumuamini mtu inapo kuja issue za security na inategemea unyeti wa data zenyewe
 
Imefikia muda wa kuwa na wajuzi wa TEHAMA waliobobea sana.

Wajuzi wapo kama Mwalimu Mndeme.

Tatizo wengi wao ni wale wenye vyeti vya kuungaunga.

Pili, sasa hivi kuna baadhi ya kozi ambazo nyingine ni za level ya juu kabisa kwenye Network Security ambayo inaunganishwa na masuala ya usalama wa taifa kwa ujumla.

Kuna mada niliweka humu mapema mwaka huu nikiongelea masuala ya ujasusi wa kiteknolojia na kiuchumi ambayo nililenga masuala kama haya yanayotokea leo.

Yaani kuna wadukuzi maalum ambao majina yao yapo mahala, halafu kuna wale ambao ni wa kujitolea na wale wengine ambao huwa wana hasira tu.

Sasa nchi nyingi zilizoendelea huwa zinawakutanisha wadukuzi wote kutafuta solution pale maslahi ya taifa yanapokuwa mashakani.

Nafikiri utanielewa hapo.
 
Wajuzi wapo kama Mwalimu Mndeme.

Tatizo wengi wao ni wale wenye vyeti vya kuungaunga.

Pili, sasa hivi kuna baadhi ya kozi ambazo nyingine ni za level ya juu kabisa kwenye Network Security ambayo inaunganishwa na masuala ya usalama wa taifa kwa ujumla.

Yaani kuna wadukuzi maalum ambao majina yao yapo mahala, halafu kuna wale ambao ni wa kujitolea na wale wengine ambao huwa wana hasira tu.

Sasa nchi nyingi zilizoendelea huwa zinawakutanisha wadukuzi wote kutafuta solution pale maslahi ya taifa yanapokuwa mashakani.

Nafikiri utanielewa hapo.
Hapo nimekuelewa.Je kama na hapa kwetu kuna watu kama hao.huo utaratibu wa kukutana nao ufanyike hii ni Kwa ajili ya manufaa na maslahi mapana ya usalama wa Taifa yetu.Hasa hasa kwenye masuala ya Network/mfumo wa computer Kwa ujumla
 
Hapo nimekuelewa.Je kama na hapa kwetu kuna watu kama hao.huo utaratibu wa kukutana nao ufanyike hii ni Kwa ajili ya manufaa na maslahi mapana ya usalama wa Taifa yetu.Hasa hasa kwenye masuala ya Network/mfumo wa computer Kwa ujumla

Hapa kwetu ... Mungu asaidie tuwe na roho ya umoja. Otherwise ngumu sana kufika tunapo takiwa kufika... Wachawi wengi sana
 
Wajuzi wapo kama Mwalimu Mndeme.

Tatizo wengi wao ni wale wenye vyeti vya kuungaunga.

Pili, sasa hivi kuna baadhi ya kozi ambazo nyingine ni za level ya juu kabisa kwenye Network Security ambayo inaunganishwa na masuala ya usalama wa taifa kwa ujumla.

Kuna mada niliweka humu mapema mwaka huu nikiongelea masuala ya ujasusi wa kiteknolojia na kiuchumi ambayo nililenga masuala kama haya yanayotokea leo.

Yaani kuna wadukuzi maalum ambao majina yao yapo mahala, halafu kuna wale ambao ni wa kujitolea na wale wengine ambao huwa wana hasira tu.

Sasa nchi nyingi zilizoendelea huwa zinawakutanisha wadukuzi wote kutafuta solution pale maslahi ya taifa yanapokuwa mashakani.

Nafikiri utanielewa hapo.

Uzuri nchi yetu fitina nyingi. Watu wanalinda vibarua vyao, mawazo kama haya yako hawataki kuyasikia
 
Hapo nimekuelewa.Je kama na hapa kwetu kuna watu kama hao.huo utaratibu wa kukutana nao ufanyike hii ni Kwa ajili ya manufaa na maslahi mapana ya usalama wa Taifa yetu.Hasa hasa kwenye masuala ya Network/mfumo wa computer Kwa ujumla

Wadukuzi kwa nchi kama ya kwetu kwanza ni kosa la jinai kwa mujibu wa sheria ya mtandao ya mwaka 2005 hivyo sidhani kama kuna avenues za kuwakaribisha meza moja ya mjadala.

Ni jukumu la serikali kuangalia jambo hilo kwa maslahi ya taifa.

Mshauri wa Cyber na Network Security anatakiwa awe na sifa zifuatazo.

Awe anafahamu kutengeneza security policy and process development, secure design and operation of business systems.

Pia awe anaweza kudhibiti Identity Management (e.g. MFA, PKI, etc.),

Awe na uwezo wa kutengeneza infrastructure build and operation kwenye network, O/S or application level, SOC.

Awe ana uwezo wa kufanya Advanced Threat Analysis na kutumia technology kusaidia kufanya fraud detection na data protection (DPA)

Na mwisho aweze kufanya security product deployment and operation (e.g IDAM, SIEM, ArcSight, IDS/IPS)

Hizi ndizo sifa za mshauri wa usalama wa mitandao na anaajiriwa mahali popote pale na mshahara wake ni wa uhakika.

Makampuni na taasisi nyingi ni lazima zijaribu kuajiri watu kama hawa ili kusaidia maslahi mapana ya taifa na ukuaji wa tija kwa ujumla.
 
Hackers wako interested na Windows sababu watumiaji wengi wanatumia windows kuanzia OS hadi Servers
Huko Linux siku wakiwa wengi watahamia huko pia
 
Siku hizi vita inapiganwa online,usisubiri kupigwa na mbao au tofali,inawezekana wenzetu wako wanajaribu silaha ya kimtandao inayoweza kuifanya dunia isimame bila kufanya kazi,wanafunga computer zote dunia nzima.

Iran alipigwa shambulio hilo na israel na marekani na mifumo yake ya mitambo ya nuclear ikavurugika.

Kina tetesi kwamba hata kufeli kwa makombora ya nyuklia ya Korea Kaskazini ni kazi ya vita vya kimtandao.

Nani anajua may be Mashirika makubwa ya kijasusi duniani yako nyuma ya huu mchezo,na mpaka hapo yatakuwa yamekusanya data kiasi gani duniani kote?

Dunia ina mambo mabaya sana,mojawapo ni biological weapons,silaha za kibaiolojia,hawa jamaa wana maabara zimejaa bacteria,virusi vya magonjwa ya kila aina ya kumdhuru binadamu,kuanzia Ebola,maleria,ndui,polio,kwa hiyo wakati sisi tunasubiri kupigwa na mbao au tofali,inapita drone tu(ndege isiyo na rubani)inamwaga vimelea vya magonjwa na inaondoka,hata kama unaendesha mzinga wa kijeshi,utaacha na utaanza kuendesha tumbo la kuhara

Nadhani NIMR wadevelop security manual for chemical and biological weapons
Hatar
 
Back
Top Bottom