leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,295
- 1,687
Note
Mimi nilichokiona sio tahadhali ni Tangazo la biashara la kuuza products za updates za Microsoft Na antivirus. Kuna mtu anatafuta commission ya chap chapKwa ushauri huu na tahadhari uliyotupa umetusaidia wengi mkuu ahsante sana....
Huwezi jua kazi za kitalaam wewe, unacho kijua nikusifia na kukebehi tuMimi nilichokiona sio tahadhali ni Tangazo la biashara la kuuza products za updates za Microsoft Na antivirus. Kuna mtu anatafuta commission ya chap chap
Unaweza kutufundisha sisi wamiliki wa recording studio namna sahihi ya kugundua ujio wa bashite kabla hajatuvamia?
updates ni free hata antvirus ya microsoft ni freeMimi nilichokiona sio tahadhali ni Tangazo la biashara la kuuza products za updates za Microsoft Na antivirus. Kuna mtu anatafuta commission ya chap chap
Mi mahisi hii ni michezo tu... Juzi tumesikia mtoto wa miaka 14 kagundua sijui nini cha instagramu akapewa dola 7000, leo tumesikia kijana wa miaka 22 amegundua antivirus ya ransom.. Nahisi hivi viti vinafanyika na team kubwa ila wanawatanguliza mbele hao watoto ili kuji propaganda kwamba watoto wao wanaakili sana. Nawaza hivi... mwisho wa siku hao waliotengeneza kirusi watakula ela kihahali (coz mwanzo walikua wanakula kiwizwiz kupitia bitcoins) coz ndo hao hao waliompa huyo dogo antivus.
hui mfumo tunao ?najaribu kufikiria kama ransomware akishambulia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, nadhani ni muda sasa wa kuajiri watu wenye weledi wa hali ya juu wa mambo ya cyberwar ili kuzuia mashambulio kama haya!! (si kwamba waliopo hawana weledi).
accident hiyo ndio kafanya huyo dogo wa 22yrs.Thanks, yani nlitaka nishare news za Malwaretech.,BBC walisema amesimamisha kusambaa huko by 'accident,ss sijui ndo nin manake
Ofisi zingine staff wengi wana laptops and move with them ss hili jangaa mweh,hopefully lisitukute
Mimi nilichokiona sio tahadhali ni Tangazo la biashara la kuuza products za updates za Microsoft Na antivirus. Kuna mtu anatafuta commission ya chap chap
Uwe una google kiogozi au uwe unasoma na kuelewa kilichopo.....Napenda kuuliza hiyo tahadhari haiwahusu jf?toka umeanza kutoa tahadhari jamii forum imekuwa sehem ya uwanja wako lakini hicho kirusi kinaonekana haijaattack mfumo wao.