Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,436
- 4,646
Wajerumani wamesema wanaoambukizwa asilimia kubwa ni ambao hawajachanja lakini hata baadhi ya ambao wamechanjwa wamepatikana +ve.JPM atabakia hero dunia nzima kwa msimamo wake kuhusu corona.
Kama mataifa yaliyochanja raia wake karibia wote lakini bado yanatapatapa, maana yake chanjo haiwasaidii. Watu wamrudie Mungu ndio suluhisho la kweli.
Hiki kirusi kinaishangaza dunia hasa dunia ya ngozi nyeupe.
Hiki kirusi hakina ubavu sana kwa mwafrika aliyepo Afrika. Kinaua lakini siyo kama kinavyowaua wenzetu ngozi nyeupe.
Waingereza kwenye summer walijiachia wakidhani Vaccine imeishinda korona, kumbe korona alikuwa anasubiri baridi ianze ili aanzishe jambo lake.
Hivi sasa Ulaya imetaharuki.