Kiroho zaidi: Rais ajaye baada ya Mama Samia,atakuwa mwanamke pia

By the time mama Samia ana karibia kumaliza muda wake wa uongozi hiyo mwaka 2030, mamilioni ya Watanzania wata tamani katiba ibadilishwe ili Mama Samia aongezewe muda , lakini halitawezekana tena kwani kwa wakati huo, kwa sababu tayari atakuwa ameshapitisha katiba mpya ya wananchi.

Kwa ufupi uongozi wa Mama Samia utakuwa uongozi utakao acha neema kubwa sana kwa wananchi wa Tanzania na Taifa kwa ujumla.

Rais atakae pokea kijiti cha Mama Samia hiyo mwaka 2030 atakuwa mwanamke pia, ambae ataendeleza pale pale alipoishia Mama SAMIA. Je unajua Rais huyo ni nani ?

Kabla hujamjua Rais huyo ni nani wacha nikurudishe mwaka 2015 wakati wa vuguvugu la kumchagua mgombea wa Urais wa JMT kupitia CCM.

Mpango Wa Mungu ulikuwa kiti Cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania kikaliwe na mwanamke kuanzia hiyo mwaka 2015. Mwendazake hakuwa kabisa kwenye mipango ya Mungu kwa habari ya kiti cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania
Kwanini nasema mpango wa mungu ilikuwa Rais awe mwanamke?

Wote tunakubaliana na hoja kwamba " sauti ya wengi ni sauti ya mungu " right?

Sasa basi twende kwenye matokeo ya kura za kumchagua mgombea wa urais wa CCM.

1. Namba moja alikuwa AMINA SALUM ALI

2. Namba mbili alikuwa ASHAROSE MIGIRO.

3. Namba tatu akawa Mwendazake.


Hapo maana yake ni kwamba, Mungu alitaka mwanamke ndio awe Rais wa nchi hii.

Option ya kwanza ilikuwa ni Mwanamke na option ya pili ilikuwa Mwanamke pia.

However wazito wa CCM hawakutaka kutii sauti hii ya Mungu, wakaamua kufanya wanavyo taka kwa kumpitisha mgombea chaguo lao kimabavu.

Hata hivyo kwa kuwa mpango wa Mungu bado uko pale pale kwamba kiti cha urais wa Tz kikaliwe na mwanamke, aliweka wazo ndani yao kwamba wamchague makamo mwanamke.

Miaka 6 baadae chaguo la Mungu linadhihirika , Mungu anamuweka mwanamke kwenye kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama alivyo kusudia toka awali.

Mungu anaiongoza Tanzania kupitia mwanamke. Kwa wasio fahamu, mwanamke ndio lango la asili linalo tumika kuunganisha MBINGU na ARDHI. " Roho zetu ( ambazo zinatoka kwa Mungu na ambazo ni Mungu mwenyewe kabisa ) ili zije duniani ni lazima zipitie kwenye tumbo la mwanamke kwanza.

So Mungu mwenyewe ameamua kuja kui guide Tanzania na amefanya hivyo kupitia mwanamke.

Unae pambana na Mama Samia jua kuwa unapambana na Mungu mwenyewe, maana yake ni kwamba umeshashindwa hata kabla hauja anza.

Back kwa Rais Mwanamke atakae pokea kijiti cha Mama Samia: Sitomtaja jina bali nita taja sifa zake.

1. Amezaliwa mwaka 1987.

2. Alizaliwa Washington DC wakati wazazi wanaishi na kufanya kazi nchini humo.

3. Alirejea Tanzania na wazazi wake, mwaka 1993.

4. Shule ya Msingi alisoma Olympio

5. Ni Alumni wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam ( 2007-2010)

6. Wakati ana kalia kiti cha Urais atakuwa na umri wa miaka 43.

Atakuwa kiongozi bora sana, chini ya uongozi wake nchi ya Tanzania itaendelea kuneemeka kama itakavyo kuwa kwa uongozi wa Mama Samia.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Ibariki Afrika.


" Yer 31:22 Kwa maana BWANA ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume"​

Unatumia kilevi gani?
 
Uliyoyaandika yangekuwa kweli Mungu asingeshindwa na watu mwaka 2015! Aidha, fahamu kuwa sauti ya wengi si sauti ya Mungu, ni ya watu. Mungu hafuati sauti ya wengi, bali watu wengi hupaswa kufuata sauti yake.

Hata hivyo, watu wachache sana hufuata sauti ya Mungu maana wengi huenda upotevuni, hupotoka kwa kufuata mawazo yao, nia zao na tamaa zao! Na ukumbuke kuwa kura ndiyo inayoamua nani awe mshindi, si Mungu! Mithali 18:18

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app

Mungu alitaka Adam na Hawa waishi Eden milele.

Sasa hivi wewe upo Eden? What happened ? FYI Mungu ametupa binadamu jurisdiction ya kufanya maamuzi yetu wenyewe. Hili ni agano takatifu . Mungu ni Mungu mwenye kuheshimu maagano. Yes mpango wake ilikuwa Rais awe mwanamke na alitoa ishara nilizo zitaja, bahati mbaya wahusika hawakuweza kuelewa na kutafsiri vizuri ishara za Mungu, Mungu akawaacha wafanye walicho kitaka, lakini kwa kuwa lengo lake lilikuwa kiti kikaliwe na mwanamke,. Yeye mwenyewe akaamua kumuweka mwanamke kwenye kiti hicho.

Usicho kifahamu, Tanzania ni Taifa Takatifu la Mungu. Mlima wa Mashariki ( Kilimanjaro ) una mambo ambayo nikikutajia hapa utatamani kwenda ku usujudu..
 
By the time mama Samia ana karibia kumaliza muda wake wa uongozi hiyo mwaka 2030, mamilioni ya Watanzania wata tamani katiba ibadilishwe ili Mama Samia aongezewe muda , lakini halitawezekana tena kwani kwa wakati huo, kwa sababu tayari atakuwa ameshapitisha katiba mpya ya wananchi.

Kwa ufupi uongozi wa Mama Samia utakuwa uongozi utakao acha neema kubwa sana kwa wananchi wa Tanzania na Taifa kwa ujumla.

Rais atakae pokea kijiti cha Mama Samia hiyo mwaka 2030 atakuwa mwanamke pia, ambae ataendeleza pale pale alipoishia Mama SAMIA. Je unajua Rais huyo ni nani ?

Kabla hujamjua Rais huyo ni nani wacha nikurudishe mwaka 2015 wakati wa vuguvugu la kumchagua mgombea wa Urais wa JMT kupitia CCM.

Mpango Wa Mungu ulikuwa kiti Cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania kikaliwe na mwanamke kuanzia hiyo mwaka 2015. Mwendazake hakuwa kabisa kwenye mipango ya Mungu kwa habari ya kiti cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania
Kwanini nasema mpango wa mungu ilikuwa Rais awe mwanamke?

Wote tunakubaliana na hoja kwamba " sauti ya wengi ni sauti ya mungu " right?

Sasa basi twende kwenye matokeo ya kura za kumchagua mgombea wa urais wa CCM.

1. Namba moja alikuwa AMINA SALUM ALI

2. Namba mbili alikuwa ASHAROSE MIGIRO.

3. Namba tatu akawa Mwendazake.


Hapo maana yake ni kwamba, Mungu alitaka mwanamke ndio awe Rais wa nchi hii.

Option ya kwanza ilikuwa ni Mwanamke na option ya pili ilikuwa Mwanamke pia.

However wazito wa CCM hawakutaka kutii sauti hii ya Mungu, wakaamua kufanya wanavyo taka kwa kumpitisha mgombea chaguo lao kimabavu.

Hata hivyo kwa kuwa mpango wa Mungu bado uko pale pale kwamba kiti cha urais wa Tz kikaliwe na mwanamke, aliweka wazo ndani yao kwamba wamchague makamo mwanamke.

Miaka 6 baadae chaguo la Mungu linadhihirika , Mungu anamuweka mwanamke kwenye kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama alivyo kusudia toka awali.

Mungu anaiongoza Tanzania kupitia mwanamke. Kwa wasio fahamu, mwanamke ndio lango la asili linalo tumika kuunganisha MBINGU na ARDHI. " Roho zetu ( ambazo zinatoka kwa Mungu na ambazo ni Mungu mwenyewe kabisa ) ili zije duniani ni lazima zipitie kwenye tumbo la mwanamke kwanza.

So Mungu mwenyewe ameamua kuja kui guide Tanzania na amefanya hivyo kupitia mwanamke.

Unae pambana na Mama Samia jua kuwa unapambana na Mungu mwenyewe, maana yake ni kwamba umeshashindwa hata kabla hauja anza.

Back kwa Rais Mwanamke atakae pokea kijiti cha Mama Samia: Sitomtaja jina bali nita taja sifa zake.

1. Amezaliwa mwaka 1987.

2. Alizaliwa Washington DC wakati wazazi wanaishi na kufanya kazi nchini humo.

3. Alirejea Tanzania na wazazi wake, mwaka 1993.

4. Shule ya Msingi alisoma Olympio

5. Ni Alumni wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam ( 2007-2010)

6. Wakati ana kalia kiti cha Urais atakuwa na umri wa miaka 43.

Atakuwa kiongozi bora sana, chini ya uongozi wake nchi ya Tanzania itaendelea kuneemeka kama itakavyo kuwa kwa uongozi wa Mama Samia.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Ibariki Afrika.


" Yer 31:22 Kwa maana BWANA ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume"​

We jamaa ni ovyo kabisa, halafu usitake mawazo yako yawe ndo mipango ya Mungu, Mungu hashindwi na angetaka 2015 rais awe mwanamke hakuna ambaye angeweza kuzuia....Mipango ya Mungu haizuiliki,
Usimzungumzie Mungu kama unamzungumzia mtu.
 
We jamaa ni ovyo kabisa, halafu usitake mawazo yako yawe ndo mipango ya Mungu, Mungu hashindwi na angetaka 2015 rais awe mwanamke hakuna ambaye angeweza kuzuia....Mipango ya Mungu haizuiliki,
Usimzungumzie Mungu kama unamzungumzia mtu.
We jamaa ni ovyo kabisa, halafu usitake mawazo yako yawe ndo mipango ya Mungu, Mungu hashindwi na angetaka 2015 rais awe mwanamke hakuna ambaye angeweza kuzuia....Mipango ya Mungu haizuiliki,
Usimzungumzie Mungu kama unamzungumzia mtu.
 
Hivi kuna binadamu anaweza kubadilisha mpango wa Mungu? Yaani Mungu awe amepanga rais awe mwanamke ila binadamu ambao pia wapo chini ya utawala wake na amri zake wakamshinda Mungu na kumuweka rais Mwanaume?

Akipangacho Mungu,binadamu hawezi kukipangua.
 
Back
Top Bottom