PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,522
- 13,107
Ohooooo!!!Sifa za Kijinga Tu. Siku waswahili/binadamu wakianza kusema ameshirikiana na ZARI kumuua IVAN ili achukue mali au kudhulumu mali za hao watoto wala usishangae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohooooo!!!Sifa za Kijinga Tu. Siku waswahili/binadamu wakianza kusema ameshirikiana na ZARI kumuua IVAN ili achukue mali au kudhulumu mali za hao watoto wala usishangae
Duh!!!Nice Di, mie siyo mimba hata kidume kikimjaza shem wenu nachukua mtoto nalea, sitaniwi atiiiiiii.
Ohooooo!!!Alimuudhi, hamtaki
Mkuu mbona unawasingizia Waswahili kwanini usijitaje tu?Sifa za Kijinga Tu. Siku waswahili/binadamu wakianza kusema ameshirikiana na ZARI kumuua IVAN ili achukue mali au kudhulumu mali za hao watoto wala usishangae
Nakupuuza kwasababu hujielewiMkuu mbona unawasingizia Waswahili kwanini usijitaje tu?
Hulka za kifa.la hizi kuendekeza maneno ya waswahili,tangu waanze kuongea wamempunguzia nini?Sifa za Kijinga Tu. Siku waswahili/binadamu wakianza kusema ameshirikiana na ZARI kumuua IVAN ili achukue mali au kudhulumu mali za hao watoto wala usishangae
Nakupatia heshima ya juu kabisa ya kuwa "Mwenye Chuki Mkuu" wa Taifa.Sifa za Kijinga Tu. Siku waswahili/binadamu wakianza kusema ameshirikiana na ZARI kumuua IVAN ili achukue mali au kudhulumu mali za hao watoto wala usishangae
Aiseee kumbe mtu unaweza kuzeek kimchezo mchezo tu.Ama kweli dunia kitenesi toka watoto wawili unapigwa bonas unakua baba wa watano na una miaka 30?????? Sasa hivi mvi zitamtokaWanaume tumeumbwa mateso.