Watoto unaoweza kuwamudu si mate so. Ni raha na baraka. Wapo waliokesha kwa Dr Ilala wakiomba watoto. Furaha ya Ndoa/Mapenzi Watoto.Wanaume tumeumbwa mateso.
Maisha ya diamond Mimi ya nini sasa? Natakiwa kufuatilia maisha yangu
Mateso gani wakati jamaa anakula bata na nundu kwa mpigo?Wanaume tumeumbwa mateso.
Hio ni kiki au majukumu yake...Uyu boya ata hashtuki kuwa raia wamechoka na kiki zake
Alimuudhi, hamtakiBaba yake je?
Yawezekana ikawa ni kweli. Ila ajue waganda wamemmaindi sanaSifa za Kijinga Tu. Siku waswahili/binadamu wakianza kusema ameshirikiana na ZARI kumuua IVAN ili achukue mali au kudhulumu mali za hao watoto wala usishangae
Hawataweza, mama yao hatawakaripia kwa sababu ya KUPANDWA na DiamondHao watoto wa ivan......wakiwa kidogo tu....wataizingua hii njemba....ngoja utoto uwatoke is just a matter of time