Kiroho safi: Diamond Platnumz akiwa na watoto wa Ivan wakifanya shopping

Safii, mbona Mimi nnalea mtoto wa mchepuko wangu na baba yake yupo tuu unafanya starehe japo walishaachana
 
Sifa za Kijinga Tu. Siku waswahili/binadamu wakianza kusema ameshirikiana na ZARI kumuua IVAN ili achukue mali au kudhulumu mali za hao watoto wala usishangae
Yawezekana ikawa ni kweli. Ila ajue waganda wamemmaindi sana
 
Back
Top Bottom