Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,602
Hii nakupa chukua..
Hamna uchafu unaokuja mahali pasafi hata siku moja. Ndiyo maana unakuta mtu kama roho yako imejaa Yesu, mtu hata akuendee kwa waganga hakupati, hii pia nakupa chukua.
Issue ya ku cheat pia naona imekaa kiroho zaidi. Mwanaume ukiwa unachepuka maana yake unakaribisha roho ya uzinzi kwenye nyumba.
Na unajua haya mambo ya kiroho yalivyo, energy ya uzinzi ukishaichukua ni rahisi sana kumpa mwenzi wako. Ni kama spirit fulani hivi.
Chunguza pia mtu aliyeolewa na mchawi au aliyeoa mchawi at the end of the day lazima na wewe utaambukizwa nguvu za kichawi just by kulala na yule mtu.
Ni kama ukute mume ni mlevi wa pombe, haitachujua muda mke na yeye lazima awe mlevi. Maana ile roho ya ulevi ya mumewe ni rahisi ku i transfer kwa mkewe.
Kwaiyo mwisho wa siku hii issue ya Masanja naamini ni reflector kwamba na yeye sio msafi kwenye hiyo idara. Ni kwamba tu hajafumwa hadharani.
Naacha hii mada kama working paper. Ningependa ROBERT HERIEL na Mshana Jr waidadavue zaidi...
Hamna uchafu unaokuja mahali pasafi hata siku moja. Ndiyo maana unakuta mtu kama roho yako imejaa Yesu, mtu hata akuendee kwa waganga hakupati, hii pia nakupa chukua.
Issue ya ku cheat pia naona imekaa kiroho zaidi. Mwanaume ukiwa unachepuka maana yake unakaribisha roho ya uzinzi kwenye nyumba.
Na unajua haya mambo ya kiroho yalivyo, energy ya uzinzi ukishaichukua ni rahisi sana kumpa mwenzi wako. Ni kama spirit fulani hivi.
Chunguza pia mtu aliyeolewa na mchawi au aliyeoa mchawi at the end of the day lazima na wewe utaambukizwa nguvu za kichawi just by kulala na yule mtu.
Ni kama ukute mume ni mlevi wa pombe, haitachujua muda mke na yeye lazima awe mlevi. Maana ile roho ya ulevi ya mumewe ni rahisi ku i transfer kwa mkewe.
Kwaiyo mwisho wa siku hii issue ya Masanja naamini ni reflector kwamba na yeye sio msafi kwenye hiyo idara. Ni kwamba tu hajafumwa hadharani.
Naacha hii mada kama working paper. Ningependa ROBERT HERIEL na Mshana Jr waidadavue zaidi...