Leo jioni, mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa Rajabu Kiravu aliulizwa maswali na waandishi wa habari na badala ya kujibu maswali vizuri, alionekana kama anajibu kwa jazba. Moja ya maswali aliyoulizwa ni kuhusu kwa nini wananchi wanaamua kwenda kulala vituoni kulinda kura zao? Yeye badala ya kuona kuwa wanaogopa kura kuchakachuliwa akajibu kuwa wanatumiwa.
Kwa hali ya rushwa ilivyo hapa nchini nani ataamini kuwa upigaji kura na uhesabuji wake ni wa haki? Tupige vita rushwa na mamabo yafanyike kwa uwazi zaidi ili kupunguza matatizo yasiyo ya lazima.
Kwa hali ya rushwa ilivyo hapa nchini nani ataamini kuwa upigaji kura na uhesabuji wake ni wa haki? Tupige vita rushwa na mamabo yafanyike kwa uwazi zaidi ili kupunguza matatizo yasiyo ya lazima.