Kiranga sio atheist ni non-believer

Imani kwa Kiswahili ni neno lenye maana mbalimbali lakini ile kuu inahusiana na kitenzi kuamini, kinachofanana na kusadiki. Hapo ni kukubali ukweli wa jambo lisiloweza kuthibitishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chakula ambacho haujakionja ukisema unaamini chakula hicho kitakuwa kitamu... (hapo unakuwa uko sahihi kabisa, kwasabau hauna uhakika).

Ila ukishakionja tu.... haupaswi kusema unaamini, unatakiwa useme chakula ni kitamu au chakula si kitamu. (ukitumia dhana ya kuamini hapo hata waumini wenzako watakushangaa)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chakula ambacho haujakionja ukisema unaamini chakula hicho kitakuwa kitamu... (hapo unakuwa uko sahihi kabisa, kwasabau hauna uhakika).

Ila ukishakionja tu.... haupaswi kusema unaamini, unatakiwa useme chakula ni kitamu au chakula si kitamu. (ukitumia dhana ya kuamini hapo hata waumini wenzako watakushangaa)

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu mnaoishi na dhana ya kuamini kwamba matetemeko ya ardhi ni laana, Yesu ni Mungu, kuna Mungu... binadamu anatembea na malaika wawili... mmeamua kujitoa ufahamu tu, how on earth unalazimisha kila mtu aamini kwamba ataenda kuchomwa eti kwasababu tu hataki kukubaliana na dhana ya Mungu yupo.... if that the case kuna maana gani ya kureason??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chakula ambacho haujakionja ukisema unaamini chakula hicho kitakuwa kitamu... (hapo unakuwa uko sahihi kabisa, kwasabau hauna uhakika).

Ila ukishakionja tu.... haupaswi kusema unaamini, unatakiwa useme chakula ni kitamu au chakula si kitamu. (ukitumia dhana ya kuamini hapo hata waumini wenzako watakushangaa)

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu mnaoishi na dhana ya kuamini kwamba matetemeko ya ardhi ni laana, Yesu ni Mungu, kuna Mungu... binadamu anatembea na malaika wawili... mmeamua kujitoa ufahamu tu, how on earth unalazimisha kila mtu aamini kwamba ataenda kuchomwa eti kwasababu tu hataki kukubaliana na dhana ya Mungu yupo.... if that the case kuna maana gani ya kureason??

Sent using Jamii Forums mobile app
maxime umepatwa na nini mbona unajijibu na kujipinga mwenyewe?

Jr
 
Ili kuthibitisha uwepo wa Mungu ni lazima tujiulize Kuumba ni nini? Kuna Kuuumba na Kutengeneza, kuumba ni Kuwa (in English TO BE) na kutengeneza ni maarifa na uwezo wa kubadili umbo na muonekana na kitu kilichombwa kuwa tofauti. Mtengenezaji anatenganishwa na nafasi fulani kati yake na Kitu alichokitengeneza na pia anachukuwa muda fulani kufanya utengenezaji wake, lakini muumba hatenganishwi na nafasi na Umbile aliloliumba na hata kama litabadilika muonekano au umbo in bado anakuwa ndani ya umbile milele.

Chungu kimeumbwa kwa udongo na kimetengenezwa na mfinyanzi. Kama Mungu ndio Muumba ya vitu vyote na Mambo yote tuyajuayao na tusioyajua basi uwepo wa Maumbile including Kiranga ni uthibitisho tosha kwa Uwepo wake. Space and Time are prominant dimension in our mind can not think, imagine or know God. To know something you need to be that thing you need to know otherwise you will end up with definations and characteristics of the thing.


Kisichokuwapo, hakithibitishiki kwamba hakipo, nje ya dhana, kwa sababu hakipo, ili kithibitishike inabidi kiwepo, na kikiwepo kitakuwa kipo, si hakipo, kwa hivyo hakithibitishiki hakiponje ya dhana.

Kwa msingi huu, polisi wakisema kwamba nyumbani kwako kuna madawa ya kulevya, ni wajibu wao wanaosema kuna madawa , ku sachi nyumba mpaka wapate hayo madawa.

Kamwe hawakupi kazi ya kuthibitisha wewe unayejitetea kwamba nyumba yako haina madawa eti uthibitishe nyumba yako haina madawa, kwa sababu hata ukifagia vipi kuonesha nyumba yako haina madawa, kuna uwezekano unaweza kuwa umeyaficha pasipofikika.

Kwa hiyo, mzigo wa kuthibitisha ni wa yule anayesema kitu kipo,si anayekanusha. Anayekanusha anauliza tu kuthibitishiwa.

Nimeongelea "nje ya dhana".

Ukija kwenye dhana, Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote anaweza kuthibitishwa kwamba hayupo kwa "proof by contradiction".

Mungu huyo angekuwepo, asingetaka mabaya yaweze kutokea duniani kwa viumbe wake.

Mabaya yanatokea dunianikwa viumbe wake.

Hivyo, Mungu huyo hayupo.
 
Viashria vingi sana vinanifanya niamini there is almighty.In deed ukitazama nature ya dunia kuna vitu utagundua ni God Mercy.Vile vile kwa iman yangu naamini hivyo kutokana na majibu ya yale ninayo yaomba kwake.
 
Kinara mbishi asiyekubali kuwa kuna Mungu. Mbishi kwa viwango vyote unavyojua ila mwepesi wa hoja.

Kiranga sio atheist, kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)

Kiranga sio mmojawapo. Kiranga ni mmojawapo wa wale waliokengeuka imani, walizaliwa katika ukristo wakabatizwa na kuishi maisha ya ukristo... Lakini along the way wakabahatika kusoma doctrines za kikristo, Mungu nk.

Ni katika hizo doctrines wakashindwa kukubaliana na vifungu kadhaa hivyo wakakengeuka na kuwa wapinga Uwepo wa Mungu mkuu.

Ni watu wenye elimu kubwa kuhusu dini hasa ukristo halafu wakasoma na doctrines nyingine zinazopinga uwepo wa Mungu na kuchagua kuyaamini hayo.

Kipengele muhimu hawa watu wasio waaamini ni kule kutaka wanachokikwepa ni kile cha kutotaka kutambua kuwa ishu za kiroho, Kimungu hazina ithibati za kisayansi.

Wote tuna akili. Je, kuna ithibati? Na kama hatuna akili tuna ithibati? Lakini uhalisia unasemaje?

Kwahiyo Kiranga anataka umuoneshe Mungu as if ni kitu solid. Kiufupi hawa sio atheists bali non believers!!!
See...there are only two sides of the coin ither atheist or non-atheist ...hamna cha non- beleiver..rekebisha heading..stand to be corrected.
 
Na hiyo sayansi ya kuthibishia anayotumia ilikuako duniani tangu lini?
Kinara mbishi asiyekubali kuwa kuna Mungu. Mbishi kwa viwango vyote unavyojua ila mwepesi wa hoja.

Kiranga sio atheist, kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)

Kiranga sio mmojawapo. Kiranga ni mmojawapo wa wale waliokengeuka imani, walizaliwa katika ukristo wakabatizwa na kuishi maisha ya ukristo... Lakini along the way wakabahatika kusoma doctrines za kikristo, Mungu nk.

Ni katika hizo doctrines wakashindwa kukubaliana na vifungu kadhaa hivyo wakakengeuka na kuwa wapinga Uwepo wa Mungu mkuu.

Ni watu wenye elimu kubwa kuhusu dini hasa ukristo halafu wakasoma na doctrines nyingine zinazopinga uwepo wa Mungu na kuchagua kuyaamini hayo.

Kipengele muhimu hawa watu wasio waaamini ni kule kutaka wanachokikwepa ni kile cha kutotaka kutambua kuwa ishu za kiroho, Kimungu hazina ithibati za kisayansi.

Wote tuna akili. Je, kuna ithibati? Na kama hatuna akili tuna ithibati? Lakini uhalisia unasemaje?

Kwahiyo Kiranga anataka umuoneshe Mungu as if ni kitu solid. Kiufupi hawa sio atheists bali non believers!!!
 
Back
Top Bottom