Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,261
- 105,420
Please write in full sentences, else I will chalk you up as illiterate or semi-literate at best.Understanding?
Please write in full sentences, else I will chalk you up as illiterate or semi-literate at best.Understanding?
Hapa uanuhibiri. Mimi kwetu kanisani na yote nimeyasoma mpaka Kiyunani hivyo huwezi kunihubiria kitu ambacho sikijui.Najua una akili nyingi sana lla naanini siku Moja utakuja hapa jukwaani kuihubiri injili....
Kuokoka Kwa Sauli
9 Wakati huu wote Sauli alikuwa bado anaendelea na vitisho vyake vya kuwaangamiza kabisa wanafunzi wa Bwana. Akaenda kwa Kuhani Mkuu, 2 akamwomba ampe barua ya kumtambulisha kwa masina gogi ya huko Dameski, ili akiwapata wafuasi wa ile ‘Njia 3 Basi katika safari yake, alipokuwa akikaribia Dameski, ghafla nuru kutoka mbinguni iliangaza kumzunguka! 4 Akaanguka chini! Na aka sikia sauti ikimwambia, “Sauli, Sauli, mbona unanitesa?” 5 Sauli akajibu, “Ni nani wewe, Bwana?” Ile sauti ikasema, “Mimi ni Yesu ambaye unamtesa. 6 Lakini sasa inuka uingie mjini nawe utaambiwa la kufanya.” 7 Wale waliokuwa wakisafiri na Sauli wakasimama kwa mshangao, wala hawakuweza kusema neno kwa sababu walisikia sauti lakini hawakumwona aliyekuwa akizungumza. 8 Sauli akainuka na alipojaribu kufungua macho, hakuweza kuona kitu. Basi wakamshika mkono wakamwongoza mpaka Dameski. 9 Na kwa muda wa siku tatu akawa haoni kabisa, na hakula kitu wala kunywa cho chote.
10 Huko Dameski alikuwepo mfuasi mmoja jina lake Anania. Bwana akamwita Anania katika ndoto, “Anania! ” Akaitika, “Nipo hapa Bwana.” 11 Bwana akamwambia, “Amka uende barabara iitwayo Nyofu ukaulizie katika nyumba ya Yuda kuhusu mtu aitwaye Sauli wa Tarso. Yeye hivi sasa anaomba, na katika maono anamwona mtu 12 aitwaye Anania akija na kuweka mikono juu yake ili aweze kuona tena.” 13 Anania akajibu, “Bwana, nimesikia kutoka kwa watu wengi mambo ya kutisha ambayo mtu huyu anawatendea wataka tifu wako huko Yerusalemu. 14 Naye amekuja hapa Dameski akiwa na kibali kutoka kwa Kuhani Mkuu awakamate wote wanaotaja jina lako.” 15 Lakini Bwana akamwambia Anania, “Nenda, kwa maana nimemchagua awe mtumishi wangu wa kulitangaza jina langu kwa mataifa na wafalme na kwa wana wa Israeli; 16 nami nitamwonyesha atakavyoteseka sana kwa ajili ya jina langu .” 17 Anania akaenda, akaingia mle nyumbani. Akaweka mikono yake juu ya Sauli akasema, “Ndugu yangu Sauli, Bwana Yesu aliyekutokea njiani ame nituma kwako ili upate kuona tena na ujazwe Roho Mtakatifu.” 18 Mara vitu kama magamba vikaanguka kutoka machoni mwa Sauli, akapata kuona tena. Akasimama, akabatizwa. 19 Kisha akala chak ula, akapata nguvu tena. Alikaa siku kadhaa pamoja na wanafunzi huko Dameski na 20 bila kukawia akaenda katika sinagogi akawash uhudia watu kwamba, “Yesu ni Mwana wa Mungu.”
Sauli Ahubiri Dameski
21 Watu wote waliomsikia Sauli walishangaa wakasema, “Huyu si yule mtu aliyekuwa akiwatesa watu waliotaja jina la Yesu huko Yerusalemu, na ambaye amekuja hapa kwa shabaha ya kuwakamata na kuwapeleka wakiwa wamefungwa kwa makuhani wakuu?” 22 Lakini Sauli alizidi kuhubiri kwa nguvu zaidi akathibitisha kabisa kwamba Yesu ndiye Kristo; hata Wayahudi walioishi Dameski hawa kuwa na lo lote la kupinga. 23 Baada ya siku nyingi kupita, Way ahudi walifanya mpango wa kumwua Sauli. 24 Lakini Sauli akapata habari za mpango huo. Wayahudi walikuwa wakilinda milango yote ya kutokea mjini, mchana na usiku ili akitoka wamwue. 25 Lakini wanafunzi wake wakamtoa nje ya mji usiku kwa kumpitisha mahali palipokuwa na nafasi katika ukuta wa mji, akiwa ndani ya kapu kubwa.
Sauli Atoa Ushuhuda Wake Yerusalemu
26 Sauli alipofika Yerusalemu alijaribu kujiunga na waamini lakini wao walimwogopa kwa maana hawakuamini ya kuwa kweli ali kuwa amemwamini Yesu. 27 Lakini Barnaba akamchukua Sauli akampeleka kwa wale mitume akawaeleza jinsi Sauli alivyokutana na Yesu njiani akienda Dameski na Yesu akasema naye. Pia akawaeleza jinsi Sauli alivyohubiri kwa ujasiri kwa jina la Yesu huko Dameski. 28 Kwa hiyo Sauli akakaa nao akishirikiana nao na aki hubiri wazi wazi kwa jina la Yesu kila mahali huko Yerusalemu.
29 Lakini alipowahubiria Wayahudi wenye asili ya Kigiriki na kubishana nao, wao waliamua kumwua. 30 Waamini wengine walipo pata habari hizi walimchukua hadi Kaisaria wakamsafirisha kwenda Tarso. 31 Ndipo kanisa katika Yudea yote, Galilaya na Samaria likawa na wakati wa amani. Kanisa likapata nguvu likienenda katika kicho cha Bwana; na kwa msaada wa Roho Mtakatifu, idadi yake ikazidi kuongezeka.
Petro Amponya Ainea
32 Petro alipokuwa akiwatembelea waamini sehemu mbalimbali alifika kwa watu wa Mungu walioishi huko Lida. 33 Akamkuta mtu mmoja aitwaye Ainea, ambaye alikuwa amepooza na kwa muda wa miaka minane alikuwa hajaondoka kitandani. 34 Petro akamwambia, “Ainea, Yesu Kristo anakuponya; inuka utandike kitanda chako.” Na mara Ainea akainuka. 35 Wakazi wote wa Lida na Sharoni wali pomwona Ainea akitembea walimgeukia Bwana.
Petro Amfufua Dorkasi
36 Huko Jopa kulikuwa na mwanafunzi mwanamke aliyeitwa Tabita au kwa lugha ya Kigiriki, Dorkasi, yaani paa. Huyu mama alikuwa mkarimu sana, akitenda mema na kuwasaidia maskini. 37 Hata hivyo aliugua akafa. Wakamwosha na kumlaza katika chumba cha ghorofani. 38 Kwa kuwa Jopa hapakuwa mbali sana na Lida, wanafunzi waliposikia kuwa Petro yuko Lida, waliwatuma wenzao wawili wakamwambie, “Tafadhali njoo huku pasipo kukawia.” 39 Kwa hiyo Petro akaharakisha akaenda nao Jopa. Alipowasili wakampeleka hadi kwenye chumba alipokuwa amelazwa marehemu Dor kasi. Wajane wengi walikuwa wamemzunguka marehemu wakilia na kuonyesha mavazi ambayo Dorkasi alikuwa amewashonea alipokuwa hai. 40 Petro akawatoa wote nje, kisha akapiga magoti akaomba; akaugeukia ule mwili aka..........
Kabla huja andika kitu ukitafakar kwanza....there is more than a thousand evidences to prove the existence of almighty God...Imani nyingi za kidini 99% zimejengeka Katika misingi ya UJINGA. Naam, kutokujua kitu chochote kuhusu universe na vilivyomo. Dunia ilitoka wapi? Babu wa Babu wa Babu wa Babu wa Babu yangu ni nani? Jibu linapaswa kuwa ni SIJUI. Naam, kutokujua, na kutokujua ndio UJINGA wenyewe. Sayansi Kwa Kulijua Hilo mpaka Sasa inakiri kwamba We Don't Know About the Source of the Universe. Sayansi inakubali kwamba ni JINGA kuhusu Chanzo Cha Ulimwengu Kwa Sababu Misingi ya Sayansi ni Kuelezea Kitu Kama Kilivyo. Finitely. Sasa WAVIVU wa kufikiri (WAJINGA) wakaamua Kusema Maadam hatujui CHANZO Cha Ulimwengu basi ni MUNGU. UJINGA, UJINGA, UJINGA.
There is no God outside of the human imagination, God is an idea, invented by people.
If you disagree, show me that God actually exists outside of the idea world.
I did not say I was special.
I said "I am an avowed atheist, staunchly so. Not to be confused with militantly so."
Do you know how to read?
You are being a troll now. I have developed a low tolerance for trolls.Did i say you said that?
It was just my comment, you took out of context!
Do you know what is understanding?
Unaweza kunitajia Sababu Moja tu inayothibitisha Uwepo wa Mungu ambapo hiyo Sababu haitokani na Misingi ya UJINGA?Kabla huja andika kitu ukitafakar kwanza....there is more than a thousand evidences to prove the existence of almighty God...
Endelea kushupaza shingo...ila kwakua hauumwi, umeshiba, unabonyeza batani unaona Kila kitu unakiweza......Unaweza kunitajia Sababu Moja tu inayothibitisha Uwepo wa Mungu ambapo hiyo Sababu haitokani na Misingi ya UJINGA?
You trippin', who care?You are being a troll now. I have developed a low tolerance for trolls.
Plus you bore me. I am this close to sending you to my ignore list.
?
Idea?
Do abstract idea(s) exist? Prove
it' is "Who cares?" you ignorant buffoon.You trippin', who care?
it' is "Who cares?" you ignorant buffoon.
Obviously you do, enough to reply.
I will not personally attack you.
Whoever resort to a personal attack has lost already
Argumentum ad hominem
I will not personally attack you.
I am relegating you to my ignore list so that I don't even see what you post.
Endelea kushupaza shingo...ila kwakua hauumwi, umeshiba, unabonyeza batani unaona Kila kitu unakiweza......
Samahani Kwa kutumia lugha mbaya pengine ya maudhi......ila Tupo pamoja mpka siku Moja mui ubili injili ya kristo .. kua ni bwana na mwokoz wa maisha yetu....
Endelea kushupaza shingo...ila kwakua hauumwi, umeshiba, unabonyeza batani unaona Kila kitu unakiweza......
Samahani Kwa kutumia lugha mbaya pengine ya maudhi......ila Tupo pamoja mpka siku Moja mui ubili injili ya kristo .. kua ni bwana na mwokoz wa maisha yetu....
Ya kweli hayo?Amesahau kuwa biblia inasema bisheni mtafunguliwa yaan wakristo na waislam wanachagua na kudonyoa vifungu vinavyowafuraisha ila ukianza kuwaonesha uongo wa biblia na quran yaan hapo utaambiwa unakufuru