Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,485
- 9,516
Na wewe utakuwa umefaidi yile mgeni wa jamvi. Arushaone atakuwa. Ameshaoa kama kumi kipupwe hiki.
Mimba nyingi hutungwa kipindi cha kipupwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe utakuwa umefaidi yile mgeni wa jamvi. Arushaone atakuwa. Ameshaoa kama kumi kipupwe hiki.
Tunga sentensi kwa kutumia neno "kipupwe" ni maalumu kwa ajili ya hali ya hewa ya mwezi huu!
naanza: ninapenda sana vitu vya moto wakati huu wa "kipupwe"
Kipupwe kinavuma.
spring, autumn, summer, and winterambayo ni?..
kutaka kwangu kukaoa haka ka binti Lady doctor ni hisani tu ili kukanusuru na vuru vuru za kina Arushaone Mr Rocky Erickyb52 na hili fataki la kimataifa Vin Diesel sikio la kufa huyu binti wacha awe jamvi la wageni.
Na wewe utakuwa umefaidi yile mgeni wa jamvi. Arushaone atakuwa. Ameshaoa kama kumi kipupwe hiki.
Kipupwe kinavuma.
mamndenyi, mi bado sijaonjeka ndio maana unaona kila siku wananifata na kunidanganyia ndoa ingekuwa hivyo akina slave na wenzie wangesha ni dampo sikunyingii, nataka ndoa imara ndio maana unaona ka mchezo ka multiple choice hapa
Mimba nyingi hutungwa kipindi cha kipupwe
Ndoa yangu imekufa wakati wa kipupwe. Mr. Rocky kasema sina joto. La kutosha.
kinanivumia
no senk yuu
Ndoa yangu imekufa wakati wa kipupwe. Mr. Rocky kasema sina joto. La kutosha.
nione kwanza talaka za wakezo wooooote
hivi hivi mmmmmh
talaka tena ? mbona lengo ni kuwa na wanne ?
Kama hivyo ndivyo , sie "waheshimiwa sana" tutahakikishaje hilo punguo la joto?