Kiwalani Senior Member Feb 25, 2010 129 12 Feb 25, 2010 #1 Nawasalimia wakuu wote na kuwafahamisha kwamba mimi ndiye Kipunguni, na kwa sababu zisizoweza kuzuilika nitajulikana kama Kiwalani kuanzia sasa. Shukurani sana wakuu, tuendeleze libeneke ..... hakuna kulala!
Nawasalimia wakuu wote na kuwafahamisha kwamba mimi ndiye Kipunguni, na kwa sababu zisizoweza kuzuilika nitajulikana kama Kiwalani kuanzia sasa. Shukurani sana wakuu, tuendeleze libeneke ..... hakuna kulala!
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Feb 26, 2010 #3 Kwa nini umebadili Jina? Kipunguni nimekaa sans mkuu kabla hata watu hawajaanza kujenga majohe Kule;D:
Kwa nini umebadili Jina? Kipunguni nimekaa sans mkuu kabla hata watu hawajaanza kujenga majohe Kule;D: