Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,551
Somo tajwa hapo juu lahusika.
Waziri ni mteule wa Rais. Hupewa ulinzi na pengine msafara ama malazi / usafiri / chakula na mengineo kiprotokali.
Akiwa mikoani katikati ya majukumu yake halafu akaenguliwa anasitishiwa huduma gani au mambo gani right on the spot ?
Vitu gani anavikosa papo hapo hata akiwa safarini ? Au ni mpaka apewe official letter ndipo huanza kuhudumu kama Mbunge wa kawaida ?
Ni hili tu.
Waziri ni mteule wa Rais. Hupewa ulinzi na pengine msafara ama malazi / usafiri / chakula na mengineo kiprotokali.
Akiwa mikoani katikati ya majukumu yake halafu akaenguliwa anasitishiwa huduma gani au mambo gani right on the spot ?
Vitu gani anavikosa papo hapo hata akiwa safarini ? Au ni mpaka apewe official letter ndipo huanza kuhudumu kama Mbunge wa kawaida ?
Ni hili tu.