Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,779
- 18,746
Ugonjwa wa kipindupindu umeibuka tena Dar na halmashauri ya manispaa ya Temeke itatoa adhabu kali kwa wataokuwa wanatupa taka hovyo Dar
Mkuu wa wilaya ya Temeke Felix Lyaniva kimepiga hodi baadhi ya maeneo kutokana na wananchi kutupa taka hovyo na kutiririsha maji machafu
MKuu wa idara ya usafi na mazingira manispaa ya Temeke amesema atayeleta takataka siku ambayo siyo ya usafi atatozwa faini ya 50,000 na aliyemkamata na kumripoti atapata 40%ya faini hiyo
Mkuu wa wilaya ya Temeke Felix Lyaniva kimepiga hodi baadhi ya maeneo kutokana na wananchi kutupa taka hovyo na kutiririsha maji machafu
MKuu wa idara ya usafi na mazingira manispaa ya Temeke amesema atayeleta takataka siku ambayo siyo ya usafi atatozwa faini ya 50,000 na aliyemkamata na kumripoti atapata 40%ya faini hiyo