tusipotoshane
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 730
- 693
Ulivyoona wewe,umesahau kuwa ulileta uzi wa kipuuzi na kuomba ushauri kwa watu makini.Mpuzi sana wewe.Comment yako na maneno uliyotumia tu naona uwezo wako wa kufikiri na hata uelewa wowote huna, sema ndiyo hivyo tena humu Jf ni jukwaa huru hadi vichaa kama wewe ni ruksa kujoin.
Siku nyingine mawazo ya kilevi hivi kayatoe kwa watu mnaoendana dada.
Au unadhani hoja yako ilikuwa mujaraabu kwa watu wenye upeo wa kuchanganua mambo?
Hoja ya kipuuzi hujibiwa kipuuzi puuzi tu kama nilivyokujibu,na usitegemee ujibiwe kistaarabu!!!
Fanya kazi acha kuwaza mambo ya nyuchi nyuchi hayana faida na wala sio kitu kigeni na big deal sanaaaa kivile!!!
Kenge sana wewe kijana wa dot.com.