Mngurimi
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 819
- 789
- Thread starter
- #361
Mkuu alianza yeye kuniattack baada ya kushindwa kupambana na hoja zangu.
Akanipachika na usingle mama na wakati hata mwanaume simjui.
Nadhani amekuwa depressed kwa sababu ya kukataliwa na kila anayemuona anadhani ni Mwanakondoo wake single mama.
Eti single mother wakati mwanaume humjui! 😀😀😀😀 So unataka utuaminishe ujinga ili tukuamini