Kipindi tunalegeza kamba ili kuvuta wawekezaji wa nje tuukumbuke wosia huu wa Hayati Baba wa Taifa

Uwekezaji ni suala la duniani pote.Muhimu ni kujifunza kwa wengine waliofanikiwa kwenye uwekezaji.Pili serikali ilishashindwa kuendesha biashara.Sekta binafsi ndio injini ya uchumi wowote duniani.Huwezi endelea kwa kuwa kisiwa ni lzm ushirikiane na wengine Ili usonge.
Naam..mashaka yaliyopo ni kwamba, uwekezaji usipoangalia misingi yetu utatupoka uhuru wetu na pia hata kama kila kitu katika Nchi hii kikiwekezwa haimaanishi tutakuwa tunamaliza shida zetu.

Kuna kitu tunatakiwa kuwekeza zaidi.
 
Naam..mashaka yaliyopo ni kwamba, uwekezaji usipoangalia misingi yetu utatupoka uhuru wetu na pia hata kama kila kitu katika Nchi hii kikiwekezwa haimaanishi tutakuwa tunamaliza shida zetu.

Kuna kitu tunatakiwa kuwekeza zaidi.
Dunia imebadilika, huwezi maliza shida zote hata ulaya awajamiliza,but angalau
 
Unapimaje kuwa alishindwa? Na nini kupimo cha aliyeshinda?

Andika article kwa kirefu uchambue kushindwa kwake na kuhusu hao unaowajua walishinda.
Haihitaji article. Alishindwa kututoa kwenye umaskini hilo tu linatosha. Na upande wa chakula aliturudisha nyuma zaidi na sera zake za mashamba ya ujamaa. Alifeli sana kama kiongozi maana lengo kuu la kiongozi na matarajio makuu ya wananchi toka kwa viongozi wao ni kuboreshewa maisha na si longolongo zingine. Kwa hili alifeli.
 
Haihitaji article. Alishindwa kututoa kwenye umaskini hilo tu linatosha. Na upande wa chakula aliturudisha nyuma zaidi na sera zake za mashamba ya ujamaa. Alifeli sana kama kiongozi maana lengo kuu la kiongozi na matarajio makuu ya wananchi toka kwa viongozi wao ni kuboreshewa maisha na si longolongo zingine. Kwa hili alifeli.
Unazungumza kwa porojo, zungumza kwa data. Siku zote data ndio zinaonyesha kama umesogea au uko pale pale.

Kukusaidia kidogo sana nakupa picha. Wakati tunapata uhuru hatukuwa na chuo kikuu lakini wakati anaondoka madarakani tulikuwa na vyuo vikuu 2 na vyuo vya juu vingine kama IMF Mzumbe. Watoto asilimia 100 walikuwa wanaenda shule ya msingi tena bure. Ukitaka kupima chambua kama hivyo then ndio unaconclude.
 
Unazungumza kwa porojo, zungumza kwa data. Siku zote data ndio zinaonyesha kama umesogea au uko pale pale.

Kukusaidia kidogo sana nakupa picha. Wakati tunapata uhuru hatukuwa na chuo kikuu lakini wakati anaondoka madarakani tulikuwa na vyuo vikuu 2 na vyuo vya juu vingine kama IMF Mzumbe. Watoto asilimia 100 walikuwa wanaenda shule ya msingi tena bure. Ukitaka kupima chambua kama hivyo then ndio unaconclude.
Mkumbushe na Tanganyika packers( Cow way ) au Kawe ilikuwa inafanya kazi na sukari wetu walipata proteineou food kutika pale wakati wa vita ya Tanzania na Uganda.

Leo watu wanakanyaga mafuta pale.
 
Unazungumza kwa porojo, zungumza kwa data. Siku zote data ndio zinaonyesha kama umesogea au uko pale pale.

Kukusaidia kidogo sana nakupa picha. Wakati tunapata uhuru hatukuwa na chuo kikuu lakini wakati anaondoka madarakani tulikuwa na vyuo vikuu 2 na vyuo vya juu vingine kama IMF Mzumbe. Watoto asilimia 100 walikuwa wanaenda shule ya msingi tena bure. Ukitaka kupima chambua kama hivyo then ndio unaconclude.
Ametoka madarakani bado Tanzania ikiwa nchi maskini ya kutupwa ikitegemea misaada. Vyuo vikuu viwili hata mgojwa ww akili akikaa ikilu miaka 23 vinaweza kujengwa.
 
Mkumbushe na Tanganyika packers( Cow way ) au Kawe ilikuwa inafanya kazi na sukari wetu walipata proteineou food kutika pale wakati wa vita ya Tanzania na Uganda.

Leo watu wanakanyaga mafuta pale.
Vyote hivyo wale wenye connections ndani ya ujamaa walijilia safi na kuvifisadi. Ujamaa na ufisadi ni damudamu.

Wajamaa wananunua ndege ili wapande bure wao viongozi, wanaanzisha mashamba ya ng'ombe halafu wao wanakunywa maziwa bure. Na hao ndiyo hadi leo wanasema ujamaa ulikuwa mzuri. Hakuna mfumo mbaya na wa kifisadi kama ujamaa.
 
Ukiona mtu fisadi na mwizi wa mali ya umma jua ana chembechembe za ujamaa.
 
Vyote hivyo wale wenye connections ndani ya ujamaa walijilia safi na kuvifisadi. Ujamaa na ufisadi ni damudamu.

Wajamaa wananunua ndege ili wapande bure wao viongozi, wanaanzisha mashamba ya ng'ombe halafu wao wanakunywa maziwa bure. Na hao ndiyo hadi leo wanasema ujamaa ulikuwa mzuri. Hakuna mfumo mbaya na wa kifisadi kama ujamaa.
Mjaamaa gani unamzungumzia?. Kama ni Ujamaa wa Kiafrika utakuwa hujaelewa unachochangia au unachangia usichokielewa.
 
Ujinga mtupu! Hujui ujamaa ni umasikini?

Hivi wewe ulikuwepo kweli kwenye zama zile za kupanga mstari kupata kipande cha sabuni?

Yani ukipata sabuni unaenda nyumbani ukiimba nyimbo za shangwe
 
Ametoka madarakani bado Tanzania ikiwa nchi maskini ya kutupwa ikitegemea misaada. Vyuo vikuu viwili hata mgojwa ww akili akikaa ikilu miaka 23 vinaweza kujengwa.
Leo hii ni miaka 35 tangu Nyerere atoke madarakani lakini huna uwezo wa kufanya hata analysis ndogo halafu unamlaumu Nyerere kashindwa kukutoa kwenye umaskini. Kwa kiwango chako cha uelewa unastahili kuwalaumu wazazi wako sio Nyerere.
Ni nchi gani ya kiafrika waliyopata uhuru pamoja imeondoa huo unaouita umaskini?

Nyerere alikataa madini yasichimbwe mpaka kwanza watanzania wawe na elimu ili yaweze kuwanufaisha, unamlaumu hata kwa hilo? Nyerere alitegemea kuuza mazao tu lakini alisomesha watoto hadi chuo kikuu bure na posho wanafunzi wa vyuo walipewa ili kujikimu lakini hayo huyaoni. Alijenga reli ya TAZARA, nk.
 
Ujinga mtupu! Hujui ujamaa ni umasikini?

Hivi wewe ulikuwepo kweli kwenye zama zile za kupanga mstari kupata kipande cha sabuni?

Yani ukipata sabuni unaenda nyumbani ukiimba nyimbo za shangwe
Nazungumzia Ujamaa wa Kiafrika,
 
Back
Top Bottom