bodaboda2
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 872
- 230
Teh Teh Bavicha hebu Twambie kwanini Slaa alikimbia upadre..
kwasababu aliona bora aowe awe na mke mmoja kuliko raisi Wako wa vimada
Teh Teh Bavicha hebu Twambie kwanini Slaa alikimbia upadre..
Mipiga kura ya type yako ni mzigo kwa taifa hili!! Imekuwa ikililetea taifa hasara sababu imejaza pamba maskioni na haitaki kusikia Sera na maono ya wagombea!! Matokeo yake ni kutuletea viongozi wa type ya "Vasco da gama" kila siku safari zisizo na tija!!!
Huyu huyu Pombe Magufuli au mwingine! Kweli kibaya chajitembeza, yaani mtu kakaa serikalini miaka yote hiyo leo ndio tusimuliwe historia yake. Kweli duniani hakuishi vituko!Kipindi Cha historia ya Mh Magufuli kitaruka leo tarehe 5/08/15 saa tatu na robo usiku kupitia ITV.
Mkuu INA maana jamaa anakariri haelewi?
Baba yangu alikua shabiki mkubwa wa magufuli lakini hyo part imemfanya asite kidogo wameficha kitu hapo magufuli alifukuzwa mana shule za seminari ni shule nzuri sana kitaaluma mtu huwezi ama tu.
Kwanini watudanganye
Jana usiku makala iliyoandaliwa na sam mahela na kurushwa na ITV ilikua na maudhui ya kutangaza usukuma wa Magufuli badala ya mambo ya msingi juu ya uwezo wake,mtangazaji alikuwa akisisitiza wanaohojiwa kuzungumza kilugha badala ya kiswali ilhali wahusika walikua na uwezo wa kuzungumza Kiswahili kizuri
kwasababu aliona bora aowe awe na mke mmoja kuliko raisi Wako wa vimada
Nachowapendea ITV hawapendelei upande mmoja kisiasa.