Kipindi kigumu ndicho hutoa matokeo halisi na uhakika

nandembako

JF-Expert Member
Jun 16, 2013
654
523
Nimejifunza kitu, mimi kama mjasiriamali mara nyingi wanapotangaza hali ngumu ya maisha ndio nagundua pia fursa huwepo nyingi sana, na watu ambao wapo serious wanapiga hatua.

Umewahi kutazama kwa upande wa pili kuliko kubaki unalalamika?

Je, hapo ulipo ni mahali sahihi hujawahi kufikiria kuzama upande mwingine?

Tafsiri halisi ya mtaji kwako ni nini?

Je, unaamini kwenye uvumilivu?
 
Mkuu ongea kila kitu lakini kubali kwamba serikali ina wajibu wa kuhakikisha inaweka mazingira bora yatakayo wezesha wananchi kujikwamua na umasikini. Kwa mfano Nchi zilizoendelea zilianzisha sera nzuri katika nyanja zote, hususani ktk uchumi n.k bila kusahau kuboresha miundombinu na kuwekeza ktk teknolojia.

Sisi tumefeli kuwekeza na kuweka sera nzuri ktk sector ambayo wananchi wengi wanaitegemea ambayo ni kilimo, hili ni tatizo kubwa.
 
Lakini naamini kuna kitu tunaweza tukafanya bila kufika huko,tujifunze kwa walioweza wapi walipatia na wapi walikosea, lakini kubwa kuliko ni kukubali hayo mapungufu ya serikali na kuhamishia mawazo side nyingine,maisha yana mlango wa kutokea daima.
Mkuu ongea kila kitu lakini kubali kwamba serikali ina wajibu wa kuhakikisha inaweka mazingira bora yatakayo wezesha wananchi kujikwamua na umasikini. Kwa mfano Nchi zilizoendelea zilianzisha sera nzuri katika nyanja zote, hususani ktk uchumi n.k bila kusahau kuboresha miundombinu na kuwekeza ktk teknolojia.

Sisi tumefeli kuwekeza na kuweka sera nzuri ktk sector ambayo wananchi wengi wanaitegemea ambayo ni kilimo, hili ni tatizo kubwa.
 
Lakini naamini kuna kitu tunaweza tukafanya bila kufika huko,tujifunze kwa walioweza wapi walipatia na wapi walikosea,lakini kubwa kuliko ni kukubali hayo mapungufu ya serikali na kuhamishia mawazo side nyingine,maisha yana mlango wa kutokea daima....

sure, ndio maana wengine wamekuja na kauli, "Pambana na hali yako'.
 
Back
Top Bottom