JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,715
Maji hayajotoka tangu wiki iliyopita na umeme umekatika hadi mda huu na tuna janga la dunia. Wenzetu tunaona serikali zao zinatoa umeme bure na maji bure na chakula bure nchi jirani. Mbona kwetu umeme tumelipia na umekatwa ? Maji tumelipia na hayajatoka tutanawa vipi mikono virusi? Tunaomba serikali yetu itunali kipindi hiki hata kwa yale tuliyokwisha lipia wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app