Aliefariki hakuwa muislam mkuu, so unaona hata salamu yenu alivyokuwa anaitamka " ASALAMAREKU"ni vyema wakapiga na qaswida, ama zenyewe hazina maudhui ya kuomboleza???
Kha!kha! kha! Acha ulozi wewe.Basi ombeeni akufe mwingine!
😂 😂 😂Basi ombeeni akufe mwingine!
Mpendwa unaenda kufanya nini bar mkuu?
Maeneo ya starehe wewe mpendwa unafanya nini? Hizi sasa si ndiyo dalili za mwisho wa dunia hizi!!Yaani ni mwendo wa nyimbo za injili tuuu... upako kila sehemu. Bar zimegeuka platforms za nyimbo za injili ... safiii