prof Mose
Member
- May 10, 2019
- 37
- 28
Leo mida ya jioni nimeondoka na jamaa angu kwenda kupata huduma sehemu umbali wa Kama km10 hivi na usafiri wetu ukiwa ni pikipiki. Kwa bahati mbaya baada ya kufika tu mwisho wa Safari yetu, mvua kubwa ikaanza kunyesha na kupelekea mafuriko makubwa. Ikabidi mwenyeji wetu atupe hifadhi maana njia haipitiki tena.
Akatupeleka kwa mzee wake tukamkuta mzee ameketi yupo makini kweli kweli akifuatilia tbc aridhio nasi tukaungana nae kutazama.kwa mtizamo wangu naona wamekuja vizuri na wameonesha creativity na utofauti Kama shirika la uma ila mzee baba Gabriel Zacharia alikuwa anazidisha mbwembwe mpaka anaharibu but so far wamekuja vizuri.
Ubora wa picha, uchambuzi na mtiririko wa maudhui some how wamejitahidi.Karibu kwa mwingine aliyekishuhudia kipindi hiki utupe mrejesho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akatupeleka kwa mzee wake tukamkuta mzee ameketi yupo makini kweli kweli akifuatilia tbc aridhio nasi tukaungana nae kutazama.kwa mtizamo wangu naona wamekuja vizuri na wameonesha creativity na utofauti Kama shirika la uma ila mzee baba Gabriel Zacharia alikuwa anazidisha mbwembwe mpaka anaharibu but so far wamekuja vizuri.
Ubora wa picha, uchambuzi na mtiririko wa maudhui some how wamejitahidi.Karibu kwa mwingine aliyekishuhudia kipindi hiki utupe mrejesho.
Sent using Jamii Forums mobile app