morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,519
- 1,851
anaelilia wembe mpe..
zimbabwe wanajutia ya kichwa maji wao..
anaelilia wembe mpe..
zimbabwe wanajutia ya kichwa maji wao..
anaelilia wembe mpe..
zimbabwe wanajutia ya kichwa maji wao..
Wafia nchi yetu tupo.26 tunakiwasha na atakimbia nchi mm.mpk mask nishaandaa
Yan no maalum kwa jamaaa huyu tu.mda ukiisha tunalejea kwenye utaratibu.Chondechonde
Kama kuendelea katiba iseme ni kwa magufuli pekee
Imagine muharibu nchi anakuja anang’ang’ania kubaki na nchi miaka 30
Maana tukibadili kwa nia nzr jua kuna raisi mbaya atakuja mbelen na kung’ang’ania nae aongezewe
ili nilishasema iwe kwa Magufuli tu na kama ikimpendeza arudishe mchakato wa kupata katiba mpya itakayoenzi jitihada na juhudi zake kwa viongozi wajaoNaunga hoja ila iwe kwa Magu tuu
Naunga mkono hojaa hiiili nilishasema iwe kwa Magufuli tu na kama ikimpendeza arudishe mchakato wa kupata katiba mpya itakayoenzi jitihada na juhudi zake kwa viongozi wajao