Kipindi cha maswali na majibu bungeni kina tija yoyote??

OSOKONI

JF-Expert Member
Oct 20, 2011
10,965
5,336
Kila Kikao cha bunge hutanguliwa na maswali na majibu! kipindi hiki huchukua muda mrefu na kusababisha muda wa mikutano ya bunge kuwa mirefu bila sababu! Kingine ni kuwa majibu yanayotelewa ni yaleyale ya kisiasa tu! Mimi huwa najiuliza kipindi hiki huwa kina maana gani na je huwa kinaongeza ufanisi wa serikali au ni sehemu ya wabunge kuonyesha wapiga kura kuwa wanafuatilia mambo majimboni??na kuna maana gani kiwepo kwenye kila mkutano wa bunge?
 
Okosoni, hakuna ubaya ujijibiidisha kidogo tuu kujua majukumu ya mbunge kwanza ndipo ujue umuhimu wa kipindi cha maswali na majibu!.

Ila pia sio vibaya na wewe ukatoa maoni uako ungekuwa wewe ndiye mbunge, jee imgewawakilishaje wananchi wako?.
 
Kila Kikao cha bunge hutanguliwa na maswali na majibu! kipindi hiki huchukua muda mrefu na kusababisha muda wa mikutano ya bunge kuwa mirefu bila sababu! Kingine ni kuwa majibu yanayotelewa ni yaleyale ya kisiasa tu! Mimi huwa najiuliza kipindi hiki huwa kina maana gani na je huwa kinaongeza ufanisi wa serikali au ni sehemu ya wabunge kuonyesha wapiga kura kuwa wanafuatilia mambo majimboni??na kuna maana gani kiwepo kwenye kila mkutano wa bunge?

Unajua umuhimu wa maswali, ndio maana umeuliza swali! Ila kama umeona hakina tija utuambie!
 
Utajuwaje kama wanasema kweli au wanadanganya kama hamna maswali na majibu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom