IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
B12 ni mtangazaji wa kipindi cha E20..content yake imebase katika kutoa orodha ya nyimbo 20 bora Tz.
1.kwanza wasanii kwa sasa hawana vibe na top 20 akili yao iko YouTube zaidi.
2.E20 haina uhalisia coz unawezaje kutoa list ya nyimbo bora halafu unaiacha nyimbo ya zuchu Sukari...hapa namaanishaa haiusishi wasanii wote.
3. Show yake imepoa sana haina ubunifu bora Jonijo unaona kuna kitu anafanya.
B12 anatakiwa afanye reform ya kipindi chake ili apate listeners wengi.
1.kwanza wasanii kwa sasa hawana vibe na top 20 akili yao iko YouTube zaidi.
2.E20 haina uhalisia coz unawezaje kutoa list ya nyimbo bora halafu unaiacha nyimbo ya zuchu Sukari...hapa namaanishaa haiusishi wasanii wote.
3. Show yake imepoa sana haina ubunifu bora Jonijo unaona kuna kitu anafanya.
B12 anatakiwa afanye reform ya kipindi chake ili apate listeners wengi.