Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Uwezo wake umeishia hapo.
Dhaaaa!!! Kiaz yule anamharibia mkuu #Rabbon# ndoa yake maana kama wife wake ataiskia hiii cjui kama kutalalika huko ndan pia E anajua n cr yake na rabbon kumbe ishafka publicMkuu Rabboni umeuza mechi??
...ila Diva yule Dada yaani hayuko damuni kabisa, sipendi hata kusikia sauti yake!
Je alisema source ni jfMpaka muda huu saa tano dak 42 anaendelea kuisimulia.ngoja nisikilize kama atasema source kuwa ni jf
Mkuu umeongea kitu ambacho wengi hawajafikiria madhara yake! Watu watashindwa kuleta baadhi ya story, coz wanajua asubuhi tu zitasikika Clouds! Inatakiwa ifunguliwe Thread na kumchana huyo Bi Mdada!Huyu dawa yake ni kumwendea kumchana.
Atafanya watu wenye stoei za ukweli wawe wanaogopa kuzileta hapa.
kasema hawana mawasiliano kabisa!Story nimeisoma mchana, inajina E Kama main character,... Nimemuuliza mtunzi Kama kuna maelewano naona kimya.
humu mtu anakuwa na id ya aka, anatoa stori ya siri inayomhusukabisa! huoni kama ikiwekwa wazi upo uwezekano mhusika akajulikana?SIONI UBAYA UNLESS TUNAAMUA KUWA WACHOYO WA HABARI NA HVYO HATUTAKUA TOFAUTI NA ZILE SHERIA NYIMIFU
SAWAhumu mtu anakuwa na id ya aka, anatoa stori ya siri inayomhusukabisa! huoni kama ikiwekwa wazi upo uwezekano mhusika akajulikana?
Ram tumfanyeje huyo dada?Sio Mara ya kwanza kwa diva kuchukua story JF
Hakusema mkuu yaani aliishia kujichekesha tu alipokuwa anasoma kile kipengele cha penetration ndogo ya papuchi ya E.akaanza kujipandishia mizuka tuu mwisho akaaga Na kipindi kikaisha.Poor divaJ
Je alisema source ni jf
Kawaida yake mkuu. Story zingine anazitoa kwenye movies.Nimeumia sana! Nisamehe E, sitakuchafua tena
Ka copy huu Uzi(ndo hiki anasimulia)