Maguge Maguge
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 2,734
- 1,774
sipendi hata kumsikiliza, hajithamini kiasili, anaongea lugha mchanganyiko maringo na rafudhi za kigeni, hana jipya
sasa kachanganya na kuoba story!
sasa kachanganya na kuoba story!
Kwahiyo kafanya plagiarism sioHii story anayosimulia mbona imo humu jamii forums mda mwingi, au huwa anatoa humu story then anafanya kuwa kuna watu wamemtafuta?
Mie nimeacha kumsikiliza, mida ya mpira hii imefika
Basi sogea tukae vizuri tuangalie mechi....Kumekucha naona na mimi naangalia mechi hiyo hiyo
Mods inatakiwa wampige ban, divahuyu mwizi wa nyuzi zetu anatakiwa asakwe humu ili id zake zipigwe ban
mbona kawaida ndo hivyo anafanyaga mkuu we ndo unashtukia leo. nyingi tuuHii story anayosimulia mbona imo humu jamii forums mda mwingi, au huwa anatoa humu story then anafanya kuwa kuna watu wamemtafuta?
Mkuu mm nipo hapa jirani kwako naangalia hii matchBasi sogea tukae vizuri tuangalie mechi....
Uzuri ile stori nilifuatilia jamaa alisemaKaiweka hadharani sasa
Leo nimemaliza kusikiliza michezo nkasema nimsikilize kidogo huku navuta mda wa game....mara story anayosimulia nshawahi kuisoma humu nkasema daaahmbona kawaida ndo hivyo anafanyaga mkuu we ndo unashtukia leo. nyingi tuu
Basi sogea tukae vizuri tuangalie mechi....
Hahahaaaa ngoja tuoneHaya weee
Ndio nakaa vizuri nasubiria waanze, leo kumekucha. Point 10 utofauti labda itaishia kiwa saba au kumi na tatu au kama ilivyo kumi.
Nkuu ungefanya kumrekodi,Nimeumia sana! Nisamehe E, sitakuchafua tena
Ka copy huu Uzi(ndo hiki anasimulia)
haoni hata aibu!mbona kawaida ndo hivyo anafanyaga mkuu we ndo unashtukia leo. nyingi tuu
inakuwa noma, atavunja ndoa za watu huyu!Uzuri ile stori nilifuatilia jamaa alisema
"E siyo member wa Jf yeye ni Whatsapp na facebook tu, naandika hapa nikijua she won't see this, labda baadhi ya wafanyakazi wenzetu wanatujua."
Sasa if alijua she wont see this, but now she will hear it kupitia diva