Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Kiukwel hiki kipindi cha asubuhi kilikuwa kimeanza kupata umaarufu kutokana na juhudi zilizokuwa zinafanywa na mwendeshaji Salum Mwalimu. Hata hivyo huyu jamaa kwa sasa hayupo (sijui yametimia niliyowahi kutabiri humu kuwa siku zake Channel ten zinahesabika?).
Jamaa anayeendesha sasa, David Ramadhan ameshindwa kabisa kukipa chachu, kwani anapresent hoja zisizo na hamasa sana na analeta watu wasio na impact sana kwa jamii kama alivyokuwa Mwalimu.
Jamaa anayeendesha sasa, David Ramadhan ameshindwa kabisa kukipa chachu, kwani anapresent hoja zisizo na hamasa sana na analeta watu wasio na impact sana kwa jamii kama alivyokuwa Mwalimu.