Hawa jamaa sasa wanavuka mipaka.
Hamna mandate kisheria ya kuandaa shindano la wateule wa Rais.
Endeleeni kuhabarisha na kuburudisha watanzania.
Kwani hapo kwenu wengine sio watangazaji kwa kua mnajipima kwa vipaji na sio taaluma ya uandishi wa habari.
Itoshe sasa msitishe hilo shindano lenu kwani ubora wa wateule wa Rais anaufahamu yeye aloyewateua na kuwapangia majukumu msitake kuingilia kazi za mihimili mingine ya dola.
Hamna mandate kisheria ya kuandaa shindano la wateule wa Rais.
Endeleeni kuhabarisha na kuburudisha watanzania.
Kwani hapo kwenu wengine sio watangazaji kwa kua mnajipima kwa vipaji na sio taaluma ya uandishi wa habari.
Itoshe sasa msitishe hilo shindano lenu kwani ubora wa wateule wa Rais anaufahamu yeye aloyewateua na kuwapangia majukumu msitake kuingilia kazi za mihimili mingine ya dola.