Watu wanaenda kushangaaa msafara.King'ora kinapita dakika kadhaaa kusafisha njia kwanini watu wasijae kushangaaa?M
Mbona kuansehemu huko.njiani hakuna mziki lakini watu wamejaa barabarani? Au hao ni wa chadema?
Watoto ndo wanajazana tu,hakuna mweby akili timamu atapoteza muda wake kuangalia utopolo wa ccmM
Mbona kuansehemu huko.njiani hakuna mziki lakini watu wamejaa barabarani? Au hao ni wa chadema?
Ni kama unawasisitiza wakaipigie CCM ili kukukokomoa.Watu wanaenda kushangaaa msafara.King'ora kinapita dakika kadhaaa kusafisha njia kwanini watu wasijae kushangaaa?
Wamevaa kijani bwasheeWatu wanaenda kushangaaa msafara.King'ora kinapita dakika kadhaaa kusafisha njia kwanini watu wasijae kushangaaa?