Mkuu una brain tumor au ni trauma cases!?.Habarini wakuu! naomba kujuzwa gharama za kipimo cha MRI na CT- scan, nataka kufanya kichwani.
Natanguliza shukurani zangu za dhati kwa wanaJF
CT Scan ni computed Tomography scan, hiki ni kifaa kinachotumia mionzi kutambua uvimbe (sometimes inaweza ikawa cancer au non cancerous tumor), majeraha na magonjwa katika sehemu za mwili Kamavile soft tissues mfano brain, Total spine (cervical, Thoracic and lumbar spine).Naomba kujua maana ya hivi vipimo, yaani MRI na CT-Scan