Wakuu natanguliza heshima kwenu.
Nimefanya kipimo cha MRDT (Malaria Rapid Diagnostic Test) kwenye zahanati mbili tofauti.
Katika zahanati ya kwanza nilichajiwa sh. 2000 wakati katika zahanati ya pili nilichajiwa sh.5000.
Wizara ya Afya haihusiki kutoa maelekezo kuhusu bei ya hiki kipimo kwa hospitali zote?
Je, kuna kasoro au athari zozote za kutumia kipimo hiki?
Nimefanya kipimo cha MRDT (Malaria Rapid Diagnostic Test) kwenye zahanati mbili tofauti.
Katika zahanati ya kwanza nilichajiwa sh. 2000 wakati katika zahanati ya pili nilichajiwa sh.5000.
Wizara ya Afya haihusiki kutoa maelekezo kuhusu bei ya hiki kipimo kwa hospitali zote?
Je, kuna kasoro au athari zozote za kutumia kipimo hiki?