ziehl neelsen
Member
- Jun 7, 2014
- 44
- 7
Nahitaji kosolewa sana ili kupata uzohofu kabla ya kazi ila king'asti.......!!!!?
na ni daktari mtarajiwa huyu? mbona tutakufa tuishe!
Kwa technicians wa tanzania, mrdt is the answer, Vipi sijaona anaeongelea kuhusu ACRIDINE ORANGE au QBC?
Majibu ya uongo una maanisha nn!? Wakati WHO wamekpitisha pamoja na wizara ya afya..!?Hicho kipimo hata sitaki kukisikia, mara mbili kimetoa majibu ya uongo na chupuchupu nimpoteze mwanangu...!
Nimepimwa nikakutwa sina malaria lakini after 1 day nikazidiwa kupimwa nikakutwa na malaria kali, nikalazwa hospital siku 5 na kupigwa dozi za kwinini. Juzijuzi binti yangu kapandisha homa kupimwa na hicho kipimo kakutwa hana malaria zaidi ya UTI, kupewa tiba ya UTI lakini hali ikazidi kubadilika. Kwenda hospital nyingine ndio akakutwa na malaria na kulazwa.........hapo nitakiaminije hicho kipimo???? May be hao lab technician ndio hawana utaalamu.Majibu ya uongo una maanisha nn!? Wakati WHO wamekpitisha pamoja na wizara ya afya..!?