Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,696
- 3,472
Baada ya wataalamu wa China kugundua kipimo kipya cha maambukizi ya virusi vya korona kinachopima kwa njia ya haja kubwa, miji mingi nchini humo imeidhinisha kipimo hicho.
Viwanja vya ndege pia hukitumia kwa wasafiri WANAOINGIA CHINA! jambo lililoifanya Japan kuitaka china kuacha kutumia kipimo hicho cha haja kubwa kwa raia wake, hii ni baada ya baadhi kulalamika kuwa njia hiyo imekuwa ikiwasababishia maumivu ya kisaikolojia!
Kipimo hicho huhusisha kuingiziwa Katika njia ya haja kubwa kifaa CHENYE UREFU WA NCHI 2 chenye pamba nchani na KUZUNGUSHWA HUMO KWA NGUVU, njia ambayo inadaiwa kuwa ni rahisi na ya uhakika ya kugundua mgonjwa wa Covid-19 Ingawa hakuna nchi nyingine iliyobariki matumizi ya kipimo hicho.
Source: BBC NEWS
---
TOKYO (Reuters) - Tokyo has requested Beijing to stop taking anal swab tests for COVID-19 on Japanese citizens as the procedure causes psychological pain, a government spokesman said on Monday.
Chief Cabinet Secretary Katsunobu Kato said the government has not received a response that Beijing would change the testing procedure, so Japan would continue to ask China to alter the way of testing.
“Some Japanese reported to our embassy in China that they received anal swab tests, which caused a great psychologial pain,” Kato told a news conference.
It was not known how many Japanese citizens received such tests for the coronavirus, he said.
Some Chinese cities are using samples taken from the anus to detect potential COVID-19 infections as China steps up screening to make sure no potential carrier of the new coronavirus is missed.
China’s foreign ministry denied last month that U.S. diplomats in the country had been required to take anal swab tests for COVID-19, following media reports that some had complained about the procedure.
Source: Reuters
Viwanja vya ndege pia hukitumia kwa wasafiri WANAOINGIA CHINA! jambo lililoifanya Japan kuitaka china kuacha kutumia kipimo hicho cha haja kubwa kwa raia wake, hii ni baada ya baadhi kulalamika kuwa njia hiyo imekuwa ikiwasababishia maumivu ya kisaikolojia!
Kipimo hicho huhusisha kuingiziwa Katika njia ya haja kubwa kifaa CHENYE UREFU WA NCHI 2 chenye pamba nchani na KUZUNGUSHWA HUMO KWA NGUVU, njia ambayo inadaiwa kuwa ni rahisi na ya uhakika ya kugundua mgonjwa wa Covid-19 Ingawa hakuna nchi nyingine iliyobariki matumizi ya kipimo hicho.
Source: BBC NEWS
---
TOKYO (Reuters) - Tokyo has requested Beijing to stop taking anal swab tests for COVID-19 on Japanese citizens as the procedure causes psychological pain, a government spokesman said on Monday.
Chief Cabinet Secretary Katsunobu Kato said the government has not received a response that Beijing would change the testing procedure, so Japan would continue to ask China to alter the way of testing.
“Some Japanese reported to our embassy in China that they received anal swab tests, which caused a great psychologial pain,” Kato told a news conference.
It was not known how many Japanese citizens received such tests for the coronavirus, he said.
Some Chinese cities are using samples taken from the anus to detect potential COVID-19 infections as China steps up screening to make sure no potential carrier of the new coronavirus is missed.
China’s foreign ministry denied last month that U.S. diplomats in the country had been required to take anal swab tests for COVID-19, following media reports that some had complained about the procedure.
Source: Reuters