utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 214
- 7
Kama kuna nchi ambayo raia wake hawaoni uhusiano wa uongozi na maisha ya kila siku basi ni TANZANIA.Hebu angalia masual na matukio haya ?SI KIPIMO TOSHA kuwa tunahitaji kiongozi mbadala kama si uongozi?
-
- Rais kutuambai kuwa walioiba EPA wanarudisha fedha bila kuwakamata?Ilihali alikasirishwa na kumkuza kazi Gavana Balali kwa uzembe wa kusababisha wizi wa EPA?
- Kushindwa kusimamaia uchunguzi wa ufisadi ,kama MEREMETA na kueleza kuwa suala hilo lilihusu usalama wa wa taifa.
- Rais alitatajwa katika list of shame NA UHUSIANO WAKE NA wamiliki wa BARRICK hajwahi kujibu.
- Amewahi kupotoshwa na kupotosha umma mara kadhaa ,mfano suala la mapanki Mwanza,ujenzi wa daraja Ruvuma,kupokea misaada ya magari,ufunguzi wa hotel Arusha ,na kali ya kfunga mwaka ya takwimu alizotoa hotuba ya Mei 5,Kuhusu madai yawatumishi
- Tafiti za uongo kuwa Rais ni safi ila watendaji Bomu,kazi ya KIONGOZI ni kusimamia walio chini kileta ufanisi ,akishindwa kufanya hivyi apumzishwe!
- Kushindwa kuwawajibisha wasaidizi wanaompotosha ,au naye ni sehemu ya upotoshaji huo?
- Ugumu wa maisha mtaani
- Kuhalalisha rushwa mbele ya viongozi wa dini, Eti alikuwa anatania ,!ni kiongozi gani asiyechagua ya kuongea mbele ya hadhara na kwa nini asemewe na Tendwa!
-