JOHN MADIBA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 251
- 155
SWALI LA LEO LA KIPIMA UPEPO LINAULIZA HIVI:-
Unakipa nafasi chama kipi cha siasa kuibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga unaotarajiwa kufanyika tarehe 02 mwezi ujao?
A) CCM!
B) CHADEMA!
C) CUF!
Piga kura kwa kuandika herufi ya jibu unalodhani ni sahihi sehemu ya kuandika comment! Kumbuka unaruhusiwa kupiga kura moja tu
Unakipa nafasi chama kipi cha siasa kuibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga unaotarajiwa kufanyika tarehe 02 mwezi ujao?
A) CCM!
B) CHADEMA!
C) CUF!
Piga kura kwa kuandika herufi ya jibu unalodhani ni sahihi sehemu ya kuandika comment! Kumbuka unaruhusiwa kupiga kura moja tu