Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Mmeoana na unapendana na mpenz wako,ila mtu anawasumbua sana kwenye penz lenu ingawa mna msimamo,siku moja ukaenda kuwinda porini,ukamwona swala na ukaamua kumpiga risasi,swala akakwepa,kumbe nyuma ya yule swala kwa mbali kulikuwa na mwindaji mwingine,kwa hiyo swala alipokwepa risasi ikampiga mwindaji mwingine na kufa hapo hapo,duh kwa mbali yule ambaye alikuwa anawavuruga kwenye penzi akatokea,akasema lazima nitasema ulimwua makusudi na mna bifu,bila hivo nifanye mapenz na mpenz wako mara moja tu,halafu we ndo umtongozee yeye mpenz wako,wanafanya mapenz,but kila siku anataka arudie mchezo bila hivo atasema we mdo uliua.....hapo utafanyaje?uende jela ya maisha yako yote au umegewe?