Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Wakuu JF,
Naangalia kipima.joto ITV.
Kuna mtu mmoja kwa kweli amenifanya nipate usingizi mnono sana.
Amesema wana Israel walikaa Utumwani kwa Miaka Sabini,ndani ya Wana wa Israel kulikuwa na kabila dogo sana la watu wachache waliokuwa wanajulikana Sons of Isaack yaan watoto wa Isaka ambao ndio walikuja na suluhu ya kuwatoa wana wa Israel kutoka utumwani Mpaka kwenye nchi ya asali na maziwa, huyu mtu ametufananisha wa Tanzania wana wa Israel na UKAWA kama Sons of Isaack.
Muwe na usiku mwema.
Naangalia kipima.joto ITV.
Kuna mtu mmoja kwa kweli amenifanya nipate usingizi mnono sana.
Amesema wana Israel walikaa Utumwani kwa Miaka Sabini,ndani ya Wana wa Israel kulikuwa na kabila dogo sana la watu wachache waliokuwa wanajulikana Sons of Isaack yaan watoto wa Isaka ambao ndio walikuja na suluhu ya kuwatoa wana wa Israel kutoka utumwani Mpaka kwenye nchi ya asali na maziwa, huyu mtu ametufananisha wa Tanzania wana wa Israel na UKAWA kama Sons of Isaack.
Muwe na usiku mwema.