MASIKITIKO
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 959
- 428
Wote wawili (Shivji na Mnyika) wapo. Hivi sasa Mnyika anafafanua, mchakato unawabana wananchi kwani atakaye-amua kukusanya maoni ya wananchi atapigwa ndani miaka 7 au faini; adhabu ambayo ni kubwa zaidi ya m-hujumu uchumi anatolea mfano wa adhabu iliyotolewa na mahakama kuhusu hasara ya majengo pacha ya BoT
walitumia Masabuli kuweka kipengele hichi.